Rais wa Uchina haongei Ki Ing ereza.
Kuna jamaa aliandika watanzania nani katuloga???? Kuna shida gani hapo na kiingereza cha Rais ajae, umeshamsikia Putin, Raisi wa china, raisi wa korea kaskazini. Acha uzuzu wewe, kama vip na hutaki hama nchi kama unaweza.
si anaumwa....rais a uchina hakutumia kiingereza kama lugha ya kujifunzia shule ya upili mpaka university. Huyu baba kasoma shule kiingereza primary mpaka university tena ana mpaka shahada ya pili. Besides, amefanya kazi kwenye higher positions ukiwemo upm, how come ana kidhungu kibovu kiasi hiki na composure hamna kabisa wakati vitu vyenywe anasoma? What if angekuwa anatoa kichwani directly?
Hawezi hata kuongea sentensi mbili kwa kiingerez. Bora hata Mr dhaifu mzee wa the the the the.....
Mdau kwenye mikutano ya kimataifa ataongea kimasai au? Badala ya kumpenda kupita kupita kiasi na kutetea ujinga ni vema mngemshauri akajifunza hiyo lugha vizuri,mbona diamond platnumz now anakiongea vizuri tu na hajasoma uingereza kama lowassa
Akiwa raisi hajui kiingereza vizuri wakija wageni kutoka nje itakuwaje?
We vipi..hapo hakuna kingereza? Labda wewe ndio kingereza hakuna. Edward kasoma vizuri sio nyinyi wa leo wenye elimu za kukariri.Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
bila ushabiki ni kweli kabisa EL kwa kingereza hajiwezi kabisa
Mkutano upi wa kimataifa unalazimisha mtu aongee kungereza? Rais wa china, Rusia, German, Italy, spain, uarabunii, korea nk mikutano yote ya kimataifa huzungumza kwa Lugha zao mama hawana ulimbukeni wa Lugha ya kingereza
You're missing a bigger picture of it.
Kiingereza ndiyo lugha ya kufundishia Tanzania. Kutoka Secondary hadi chuo kikuu.
Lowassa ni msomi wa kiwango cha shahada. Hivyo amesoma kwa kutumia kiingereza hadi kupata hiyo shahada.
The BIG question is, kama hajui Kiingereza aliwezaje kufaulu masomo yake hadi kupata shahada.
kama Kiswahili ndiyo kingekuwa lugha ya kufundishia tusingekuwa na matatizo na Lowassa kutojua Kiingereza, kama tusivyokuwa na matatizo na Wachina, Wajapan, Warussia, Wakorea etc kutojua Kiingereza because it is not their lingual fracas
Kwani hapo Kilimanjaro kwenye hiyo video alilazimishwa na nani kujikakamua namna hiyo kuongea kiingereza?Si ni mazingira ndio yalimpelekea " alazimike" kuongea English,na hapo alikua pm tu,akiwa rais( mungu apishie mbali) mazingira ya namna hiyo ya "kulazimika" kusema kiingereza yatamkuta sana tu,hasa ikizingatiwa amewahi kusomea uingereza elimu ya kiwango cha shahada tofauti na Putin au rais wa China.Lowassa afanyie kazi mapungufu,kujaribu kuficha udhaifu ni kujidanganya
Yaani wewe hujui umuhimu wa Rais wako kujua kiinereza!!? You must be kidding me ................ Kiingereza ni lugha ya Taifa kama kilivyo kiswahili. Hata unapoajiliwa serikalini unafanyiwa interview kwa kiingereza!! Hivi hizo kazi wengine mmezipataje. Kwa Tanzania tunatakiwa kizimaster lugha zote mbili meaning; Kiswahili na Kiingereza. Kushindwa kwetu ni aibu na ni ku-fail kwa mfumo wetu wa elimu!! Labda ndiyo maana Lowasa amedai kwake itakuwa ni ELIMU KWANZA!!
However, kwa Lowasa ambaye hakufundishwa na Walimu wa UPE ni aibu kuongea kiingereza cha kuunga unga sentence kiasi hicho na kurudia rudia points. Kama anashindwa kujieleza kwenye kitu ambacho amejiandaa kukizungumzia atawezaje kujieleza kama atakalishwa kiti moto kwenye HARD TALK au akikutana na Christine Amanpour, Hala Golani au Richard Quest!!?
Akiwa raisi hajui kiingereza vizuri wakija wageni kutoka nje itakuwaje?
Mkuu, nmegundua kuna vilaza wengi sana humu jamvini na ndio maana badala ya kuwajenga wagombea wao wamebaki na kumjenga Lowassa wakifikiri wanambomoa!! kwanini nasema hivi, jamaa anawashangaa Wachina kuongozwa na Raisi asiyejua kiingereza, lkn unjiuliza hivi huyu hayajui MAENDELEO MAKUBWA YA KIUCHUMI NA KITEKNOLOJIA YA CHINA?? jibu ni kwamba watanzania wengi kwao kiingereza ndio Usomi na uwezo wa kutenda wa akili ya kiongozi! Tubadilike tujenge hoja za maana!