Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
- Thread starter
- #81
Ninachoamini, EL hakushiriki mpango wa ukwapuaji pesa hizo. Kwa kuilinda nchi isitikisike, isiyumbe, isianguke ndipo akajitoa muhanga kuiokoa serikali yake.
Kanisa/Misikiti inajua fika juu ya kushiriki au kutoshiriki kwa huyu EL, uonapo hususan Catholics wanathubutu kumualika...jua wameshajiridhisha.
RC wanazo system za habari kuliko hata Usalama wetu wa Taifa hapa, wanavyo vyanzo vikubwa na vyenye kuaminika kwa chochote wanachokitafuta. Mafundisho wapatayo katika kusomea upadri, na ngazi nyingine ktk mtiririko wao kimafundisho...ni zaidi ya course za usalama. Hivyo, naimani kubwa kabisa kuwa EL ameshabainika kuwa ni kafara kwa kuinusuru nchi, japo tunakataa kuamini ila AMA mwaka huu kipindi cha chaguzi za ndani za CCM tutamsikia akifunguka AU mwaka mmoja kabla ya 2015 atafunguka tena kwa ushahidi mpana kabisa.
mkuu kuna post humu nimejibu mtu na kumueleza umakini wa kanisa katoliki kwa kila jambo, kama kanisa wangeona EL anatatizo kwa hakika wasingethubutu kumualikana hata siku moja. Viongozi wa kanisa langu huwa hawakurupuki hata siku moja na kama kuna jambo ni lazima walijadili na wakijiridhisha ndio utaona matokeo. Nina imani kubwa sana na kanisa langu na viongozi wake wote pamoja na maamuzi yao pia