Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,582
Baba wa Taifa sio Mungu!. Mapenzi ya Mungu yatatimia!.Anapoteza smuda wake tu Bw Lowassa, baba wa Taifa Mwl Nyerere alikwisha mfuta forever Uraisi waa TZ atausikia kwa mbali tu
Baba wa Taifa sio Mungu!. Mapenzi ya Mungu yatatimia!.Anapoteza smuda wake tu Bw Lowassa, baba wa Taifa Mwl Nyerere alikwisha mfuta forever Uraisi waa TZ atausikia kwa mbali tu
Mkuu, sio kwamba EL anawaandaa wananchi, ukweli ni kwamba EL anaandaliwa kuwa prezdaa wa Tz 2015. Hiyo ndiyo Vatcan kama ulikuwa hujui.
Lowasa ndiye mrithi sahihi wa JK.
Kama nchi imelaaniwa basi mkuu wa wezi EL atachaguliwa, lakini ajue kanisa katoriki la mitume haliwezi kwenda kusujudu mafisadi na wezi wanaoongozwa na ELHakunaga anayefaa kuwa rais wa JMT 2015 kama Lowassa.Time will..
Kama nchi imelaaniwa basi mkuu wa wezi EL atachaguliwa, lakini ajue kanisa katoriki la mitume haliwezi kwenda kusujudu mafisadi na wezi wanaoongozwa na EL
Katika raia milion 45 wewe umescreen na kumwona Lowasa tu, this is a symptoms of bigger problem in 2015 presindetial election. Time will tellHakunaga anayefaa kuwa rais wa JMT 2015 kama Lowassa.Time will..
Pengo analipeleka kubaya kanisa lenye heshima kubwa hapa nchini,anadhani anamkomoa kikwete hapana,anatukomoa sisi wapinga ufisadi wote tanzania wakiwemo waumini wa kanisa hilo.Anatakiwa kutoka na kutoa tamko kama walvyowahi kufanya walutheri kuzikataa pesa za lowassa na rostam walizokipatia kikundi cha kwayaHakuna shaka sasa Maaskofu nao wameingia kwenye mikono ya EL. sijui watahubiri nini tena makanisani. Hizo fedha zitawatoka puani. Tafakarini sana mnayoyatenda. Kama hamkuwa na fedha za kuanzisha jimbo kwanini mlilianzisha?
Hayo mabadiliko ya juzi hakuna kitu!, hiyo ngoma bado mbichi, utaniambia!.
Baba wa Taifa sio Mungu!. Mapenzi ya Mungu yatatimia!.
adui namba moja wa mchawi wa kiafrika ni maendeleo. Yes you are <--bold umeandika ushirikina mtupu kama ulivyo, wewe 2012 hii bado unaimani za mkibuyu??? makanisa mengine bana yani wao kazi yao nikuwajaza waumini wao vitisho badala ya kuwajenga jinsi ya kuishi maisha ya kumpendeza mungu, nyinyi ndio wale wa yale makanisa ambayo katika masaa 3 ya ibada mnatumia masaa 2:45 kumuongelea shetani na matendo yake kwa hiyo mkitoka huko mnakuwa na uelewa mpana zaidi juu ya shetani kuliko mungu kama unavyojionesha hapa.
WITO: Tujitokeze kwa wingi katika harambee ya kuijenga himaya ya mungu.. sambaza ujumbe huu kwa wengine viongozi wa kanisa katoliki ni makini sana na kama wangeona EL ana tatizo wasingemuita
adui namba moja wa mchawi wa kiafrika ni maendeleo. Yes you are <--bold umeandika ushirikina mtupu kama ulivyo, wewe 2012 hii bado unaimani za mkibuyu??? makanisa mengine bana yani wao kazi yao nikuwajaza waumini wao vitisho badala ya kuwajenga jinsi ya kuishi maisha ya kumpendeza mungu, nyinyi ndio wale wa yale makanisa ambayo katika masaa 3 ya ibada mnatumia masaa 2:45 kumuongelea shetani na matendo yake kwa hiyo mkitoka huko mnakuwa na uelewa mpana zaidi juu ya shetani kuliko mungu kama unavyojionesha hapa.
WITO: Tujitokeze kwa wingi katika harambee ya kuijenga himaya ya mungu.. sambaza ujumbe huu kwa wengine viongozi wa kanisa katoliki ni makini sana na kama wangeona EL ana tatizo wasingemuita