Lowassa matatani zaidi

FYI I am doing this for the passion to my beloved country. I have never gain even a single cent on my contribution on this forum or any other forum. Usiwe na mawazo finyu bro kwamba mtu anapoipigania nchi yake ni lazima kuwe na monetary benefits.

Ningetaka kuneemeka basi nami ningefuata nyayo za msaliti Mwanakijiji ili nipate ukuu wa mkoa kwa kumpigia debe dikteta uchwara.


Wewe hauna huo uwezo wa kuneemeka na kupata Ukuu wa Mkoa, siyo kila mtu anayeipigia debe CCM anachukuliwa, wewe hata kama ukiipigia debe CCM hakuna wa kukuchukuwa kwa maana uwezo wako ni mdogo wa kuchanganua mambo, ona sasa unavyosutwa hapa unatapa tapa kama mtoto aliyeshikwa anadokoa Mboga!
 
Kama huyu asiyetaka kujaribiwa, kapiga marufuku mikutano na maandamano ya wapinzani kwa kujificha nyuma ya mgongo wa polisiccm na ana ushahidi wa ufisadi wa Lowassa ni kipi kinamshinda huyu kumkamata na kumpandisha kizimbani!? Hapo mie ndiyo namshangaa huyu aliyejitoa kafara kupambana na mafisadi.

Tueleze basi kuhusu swahiba wako Lowassa. No Fisadi au siyo Fisadi?
 
Hauna huo uwezo wa kuneemeka na kupata Ukuu wa Mkoa siyo kila mtu anayepigia debe anachukuliwa, wewe hata kama ukiipigia debe CCM hakuna wa kukuchukuwa kwa maana uwezo wako ni mdogo wa kuchanganua mambo ona sasa unavyosutwa hapa unatapa tapa kama mtoto aliyeshikwa anadokoa Mboga!

Mpe ukweli huyo jamaa. Siku za nyuma alikuwa mpingaji mkubwa sana wa Lowassa. Leo hii amekuwa mpambe wake mkubwa sana tu. Yeye na Kubenea hawana utofauti.
 
AF kama usaliti ni nani kati ya CCM na CHADEMA walioisaliti nchi hii zaidi!? Kumbuka EPA, Escrow, Kagoda, Meremeta, mikataba ya rasilimali, IPTL, Rada, Kiwira Coal mining, Lugumi, UDA, Pride, Tokomeza n.k. na hatusahau kulivua gamba hebu nitajie ufisadi mmoja tu wa CHADEMA. Mie kuunga mkono CHADEMA si kwa sababu ya mtu huyu au yule bali ni sera za chama.

Sasa AF CCM wamekusaliti mara ngapi!? Mbona bado umeng'ang'ana!?
Kumbuka ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, Kilimo kwanza, Tumethubutu, tumeweza na sasa tunasonga mbele. Zote hizi zilikuwa ni ahadi hewa, ni lini utawarudishia likadi lao na kuangalia ustaarabu mwingine!?

Hayo unayoyaongelea yamefanyika pia wakati Lowassa akiwa ndani ya serikali na ccm. Sasa Lowassa ni fisadi au siyo fisadi?
 
hahaha nyuzi kama hizi ziko nyingi sana za makamanda kumponda lowasa. leo hii ukizifokonyoa uzilete hapa utaona mods watakavyolalamikiwa mara utasikia 'mods sikuhizi wamenunuliwa na ccm' mara 'mods toeni ujinga huu' hahaha makamanda bwana ni sheeeeda!!!!
 
mgombea urais kupitia chadema 2020 ni mh chenge, iwe isiwe mbowe usitusaliti wanamabadiliko. lowaxa keshakuwa msafi hahitajiki tena. ni zamu ya nyoka mwenye makengeza
 
Acha tu walianzishe zali hili. Ni wao wenyewe watalizima watakapoona mhusika mkuu anatajwa. Tunajua uamuzi wa kuipa tenda kampuni Richmond (Kama yalivyo maamuzi mengine makubwa ya serikali) ulifanywa na Baraza la Mawaziri. Mwenyekiti wake alikuwa ni nani???
 
Hizi post za zamani, huchelewi kukuta mtu anakana maandishi yake mwenyewe. Au ana apply kanuni ya Bunge ya "kufuta kauli" japokuwa maandishi ndo ivo tena hayafutiki. Jambo hili pia limekuwa likimsumbua sana Mheshimiwa Said Kubenea (MB).
 
Kwakweli inasikitisha sana.

Ndio mtu kama huyu sasa unajiuliza hata familia yake anaisimamiaje kama anakosa msimamo kwa mambo kama haya?
Mkuu umenichekesha sana, siasa zinawafanya watu wajitoe ufahamu.!
 
uploadfromtaptalk1470000848732-jpg.374145
 
Back
Top Bottom