Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Kosa kubwa walilofanya die hard fan wa Chadema(BAK,YERIKO,MUNGI) ni kitendo cha kuunga mkono kitendo cha Lowasa kukaribishwa Chadema na kupewa nafasi kubwa kuliko hata wale waanzilishi.Binafsi Chadema walifanya kosa kubwa sana kuwafukuza Zitto Kabwe na Prof. Kitila Mkumbo