wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
atakwambia nilinukuu gazetiBubu AK, jikumbushe ya Lowassa, chadema chaka la mafisadi.
atakwambia nilinukuu gazetiBubu AK, jikumbushe ya Lowassa, chadema chaka la mafisadi.
Hivi unaujua msimamo BAK toka zamani kuhusu Lowasa Na ufisadi kwa ujumla....Kama hujui jaribu kupitia profile yake kuhusu mada za Nyuma.Hiv sikuiz JF imenunuliwa na CCM. Mnatengeneza post den mnazipa tarehe ya nyuma ili iweje. Post kama hizi ya 2008 haiwezi kuwa na comments zisizozidi hta page moja. JF moderator acheni uhuni hata jana mlitoa post kama hiiii. Tumeisha washtukia tafta njia nyingine.
Hivi unaujua msimamo BAK toka zamani kuhusu Lowasa Na ufisadi kwa ujumla....Kama hujui jaribu kupitia profile yake kuhusu mada za Nyuma.
JF haijawahi kumlisha maneno mtu, ila watu ndio wanakula matapishi yao humu JF.
Na limfike huyu aliyegeuza maandiko.I found this massage very funny
Naye Lowassa akawaambia mawaziri wengine"
KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr
Mwakyembe.Nami naenda mtaani kuwaandalia kijiwe ili
nitakapokuwa nanyi muwepo.Nanyi muonapo tume zaundwa
basi mtambue muda wa mavuno ya MAFISADI umekaribia". Kisha akakwea tena Ikulu kuomba Rais asimfilisi. Lakini RICHMOND akatokea na jeshi la Mwakyembe na kusema " Nitakayembusu huyo ndie....!".Mara Chenge akatoa Upanga alani na kumkata mfuasi wa Mwakyembe(Anna Kilango) sikio .Lowassa akamwambia Chenge "rudisha upanga wako alani,Kikombe nilichotupiwa na Kikwete Sina budi Kukinywa"
Moja kati wa mayahudi wale aitwaye Selelii hakuamini kama Lowasa Kajiuzuru,akatwaa mkuki akamchoma ubavuni na tazama...Ikatoka gas ya songosongo na nati ya mitambo ya umeme...Siku ya tatu wakaenda pale ofisini kwake..Lakini wakakuta wingu la Mvi limetanda na Suti ya mistarimistari pale kitini walipomweka..yule morani waliyemkuta getini akawaambia mnayemtafuta hayupo.....Ameshapaa kwenda Monduli na yupo kuume kwa Laiboni..Wakasema..."Hakika huyu alikuwa Fisadi.
Bubu AK, jikumbushe ya Lowassa, chadema chaka la mafisadi.
BAK bwana!! You guys have really invested in politics...and I guess it pays ....Kama huyu asiyetaka kujaribiwa, kapiga marufuku mikutano na maandamano ya wapinzani kwa kujificha nyuma ya mgongo wa polisiccm na ana ushahidi wa ufisadi wa Lowassa ni kipi kinamshinda huyu kumkamata na kumpandisha kizimbani!? Hapo mie ndiyo namshangaa huyu aliyejitoa kafara kupambana na mafisadi.
BAK bwana!! You guys have really invested in politics...and I guess it pays ....
View attachment 374145
FYI I am doing this for the passion to my beloved country. I have never gain even a single cent on my contribution on this forum or any other forum. Usiwe na mawazo finyu bro kwamba mtu anapoipigania nchi yake ni lazima kuwe na monetary benefits.
FYI I am doing this for the passion to my beloved country. I have never gain even a single cent on my contribution on this forum or any other forum. Usiwe na mawazo finyu bro kwamba mtu anapoipigania nchi yake ni lazima kuwe na monetary benefits.
Ningetaka kuneemeka basi nami ningefuata nyayo za msaliti Mwanakijiji ili nipate ukuu wa mkoa kwa kumpigia debe dikteta uchwara.
I understand you brother, we all fight for our beloved nation. Tatizo ni kuweka imani kwa hawa wanaotuongoza, I believe they're fooling us...ili kujinufaisha kisiasa.
Nilibaki na mshangao mkubwa nilikasirika sana, lakini sikuunga timu FA.
At least ungebaki Team Slaa basi kama kina Mwanakijiji; Tatizo mnaogopa kuitwa wasaliti. Mnaogopa nini ilhal mmesalitiwa?
Teh! teh! Teh! JF raha sana...BAK bwana!! You guys have really invested in politics...and I guess it pays ....
View attachment 374145
Bubu AK, jikumbushe ya Lowassa, chadema chaka la mafisadi.
BAK bwana!! You guys have really invested in politics...and I guess it pays ....
View attachment 374145