mbona hakutani na mashehe huko arumeru?
HABARI ZA KUAMINIKA TOKA ARUMERU.
EDUARD NGOYAYE LOWASSA AJITOSA
RASMI KWENYE KAMPENI ZA SIOI.
Mbunge wa Monduli na Mjumbe wa NEC CCM Amejitosa rasmi kwenye kampeni za ubbunge Arumeru Mashariki.
Habari za kuaminika zinasema leo ni siku ya Tatu tangu mzee Lowassa ajitose kwenye kampeni hizo za 'mkwewe'.
Tangu juzi alianza kukutana na Wazee wa Mila (Washili) Na jana kakutana na Wachungaji wa
Kipentecoste zaidi ya 120.
Na jana pia akakutana na Maaskofu na
wachungaji wa KKKT.
Na huenda Leo akakutana na Malaigwanan na makundi mengine yote Muhimu.
Ila haijasibitishwa na vyazo vyetu kama ataanza kupanda rasmi jukwaani kwenye wiki ya lala Salama..
Na pia kumeanza mkakati wa kampeni ya
Nyumba kwa nyumba,
Chumba kwa chumba,
Kitanda kwa kitanda,
Na mpaka shuka kwa
shuka.
Habari zaidi mtaendelea kupashwa hapa hapa..
'TANURI LA FIKRA'
'Think twice'
Ana shinda njaa au,huna unalo jua wewe.Si mpenzi wa siasa ila nadhani huyo siyoi anashinda.
Simpendi Lowassa, lakini siwapendi zaidi chadema kwasababu ya chuki zao kwetu..
so bora hata huyo lowassa[
Acha hizo. Ulianza lini kumchukia Lowasa? Kwa lipi?
Arumeru hakuna msikiti
Simpendi Lowassa, lakini siwapendi zaidi chadema kwasababu ya chuki zao kwetu..
so bora hata huyo lowassa
Wanabodi.
Habari za uhakika ambazo zimethibitishwa na marafiki wa Lowassa, zinasema mbunge huyu wa Monduli amejipanga kuweka kambi Arumeru Mashariki katika wiki ya mwisho ya lala salama ya kampeni.
Hilo litakuwa kombora la mwisho la kuimaliza Chadema huko Arumeru Mashariki.
Kwenda kwa Lowassa, Arumeru ni wazi njia itakuwa ni nyeupe kwa mgombea wa CCM, Sioi kutokana na umahiri wa mwanasiasa huyo, si tu katika kuratibu kampeni, bali hata kukubalika na kuheshimiwa na wananchi wa jimbo hilo jamii ya Kimasai na Wameru.
Inasemekana Lowassa ndio alikuwa akiratibu kampeni za kila siku mgombea wa CCM.
Kwa mujibu wa makada wa Chadema waliopo Arumeru wanasema hata kabla ya ujio huo wa Lowassa, Chadema kimekuwa kikikumbana na upinzani mkali kinapojaribu kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba kutokana na wananchi jamii ya Wamasai na Wameru kuwagomea si tu kuingia ndani ya nyumba zao kwa ajili ya kampeni, bali hata kuwasogelea.
Lowassa akifika Arumeru Mashariki si ndio itakuwa balaa kwa Chadema.