shika adabu yako mtoto. wangine humu jamvini wakati wakiwa shule ulikuwa hujatundikwa hata mimba. jitahidi kuchagua maneno ya kutumia hata kama mtu ametype vibaya. huo ndiyo ustaarabu!
wakitaka hata shetani wamuweke awe mwenyekiti wao. who cares?
Siyo mwenyekiti ila ana final say!
UTINGO umeisikia kwenye basi nini wakati wa kupakia mizigo, siyo ngoso ni NGOSWE. Zao la shule kata
well done CCM... a natural death on board
Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana!
bora lowasa awe mwenyekiti wa ccm taifa, tena aje agombee urais na awe rais wetu. mchapakazi sana tena anafaa sana kuiongoza tanzania.