fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
Baada ya matokeo mabaya kwenye uchaguzi mkuu uliopita na CCM kugawanyika katika makundi mawili, moja ni wale wazalendo na jengine wenye maslahi binafsi.
Imebainika wakati
-kundi la wazalendo likijaribu kukiimarisha chama kwa kutaka mafisadi na wale viongozi na wanachama wachafu watengwe na chama,
-kundi la pili liliojaa wabinafsi limesema matokeo mabaya ya chama uchaguzi mkuu uliopita umetokana na rais ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa kuelemewa na majuku ya kiserikali (ikiwamo kuzidi safari za nje), hivyo kukosa muda kuimarisha chama (kuzunguka kufungua matawi ya chama etc).
Hivyo wamependekeza Rais hasiwe mwenyekiti wa chama Taifa na kutaka nafasi hiyo ichukuliwe na mtu mwengine. Habari zinasema kuna mkakati wa nafasi hiyo ya Uenyekiti wa CCM Taifa kuchukuliwa na Lowassa ili aweze kuongoza chama kwenye uchaguzi mkuu ujao pamoja na kurahisisha kazi yake ya kujisafi ndani ya chama na kupata "support" yakutosha kujisafisha mbele ya wananchi.
Imebainika wakati
-kundi la wazalendo likijaribu kukiimarisha chama kwa kutaka mafisadi na wale viongozi na wanachama wachafu watengwe na chama,
-kundi la pili liliojaa wabinafsi limesema matokeo mabaya ya chama uchaguzi mkuu uliopita umetokana na rais ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa kuelemewa na majuku ya kiserikali (ikiwamo kuzidi safari za nje), hivyo kukosa muda kuimarisha chama (kuzunguka kufungua matawi ya chama etc).
Hivyo wamependekeza Rais hasiwe mwenyekiti wa chama Taifa na kutaka nafasi hiyo ichukuliwe na mtu mwengine. Habari zinasema kuna mkakati wa nafasi hiyo ya Uenyekiti wa CCM Taifa kuchukuliwa na Lowassa ili aweze kuongoza chama kwenye uchaguzi mkuu ujao pamoja na kurahisisha kazi yake ya kujisafi ndani ya chama na kupata "support" yakutosha kujisafisha mbele ya wananchi.