mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Tatizo hapa sio richmond au makosa yake mengine ya utawala tatizo hapa anadhamira ya kweli ya kuwa kiongozi wa nchi hii?atatufanyia nn watanzania,anayo agenda ya kuingia ikulu au anataka kutimiza ndoto zake tu?kuna mawili kwa EL anataka kuingia ikulu kutimiza ndoto zake za kuwa rais kama alivyo Jk mwisho wa cku yy anatimiza ndoto zake kuliko kutimiza ndoto za watanzania,anataka awe anashuka na ndege kia aje apokelewe na magari 120 vigora kuelekea monduli kwao,ikulu ni mahali patakatifu,hatuhitaji rais aliyewahi kutuhumiwa na rushwa hata ya peni au saa ya mkono,kama ww unaona richmond ndogo kwa taarifa yako ndio imerudisha nyuma maendeleo yetu cos umeme ndio kila kitu kwenye sector za uzalishaji na viwandani