econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,817
- 21,794
Mbona Hilo swali mama Anna Tibaijuka alitoa majibu yake? Acha kujifanya hujui.Wananchi gani mkuu si alienda kugombania chadema mbona hao wananchi hawakumpa huo uraisi?
Mbona Hilo swali mama Anna Tibaijuka alitoa majibu yake? Acha kujifanya hujui.Wananchi gani mkuu si alienda kugombania chadema mbona hao wananchi hawakumpa huo uraisi?
Maslahi gani? Punguzeni unafiki. Mbona mlimpa huyo Kikwete Urais kwa maslahi gani? Acheni ubaguziHaisaidii kitu uraisi haununuliwi maslahi ya nchi kwanza
Alimtuma nani?. Maana hata Majaliwa aliimba.alimdhalilisha vipi? kwani kuwatuma watu waimbe ndio kumdhalilisha? je alishinda huo ugombea kuoitia ccm? kwani hicho kikao kilikuwa cha jakaya au cha ccm?
Maneno ya mkosaji. Amenunuliwa na nani?Sio ccm sema walionunuliwa
Hapo walikuwa wameshamkata kwenye kamati kuuJk anacheka tu na anajifanya Nate anapiga makofi kumbe anampeleka mtu kibra!!
Hana uvumilivu wowote. Alimfanyia hiyana Salim Ahmed Salim asiwe Rais na baadae akamfanyia Lowassa hiyana asiwe Rais. Mwisho wake utakuwa mbaya sanaIla JK ni mvumilivu sana sana na ana busara za hali ya juu. Kwa kweli anastahili hizo nafasi alizokwisha shika. Yaliyokuwa yanaendelea kipindi hiki, yalikuwa ni mambo ya ajabu na utovu wa nidhamu wa hali ya juu.
Aliwatuma? Acha kuropoka.Nilichokiona ni kinyume chake Lowassa ndiyo kadhalilika maana licha ya kuwatumia hao paka shume wake lakini panga liliendelea kama kawaida.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila kwa thread hii ya huyu jamaaa inathibitisha ngozi nyeusi akili zao.na wanyama hazijatofautiana sana..nilishasema ili tuendeleee tunahitaji wanzungu wakae kwenye nafasi kama urais,uwaziri, ubunge na majudge..ngozi nyeusi kwa akiii hizi bora wapelekwe shambani wakalime takataka kabisa
Maslahi gani? Mpaka kupeleka jeshi Zanzibar kumzuia Maalim asiwe Rais? JK is an IdiotJK Mwamba sana, bado na akaweka urafiki pembeni, maslahi ya Taifa mbele.
Hapo ndipo Watanzania wajue umuhimu wa Katiba MpyaLowassa alikuwa ni chaguo la watu na ilikuwa ni makosa makubwa kumpa Nchi Magufuli.
Kikwete hapo aliwakosea Wananchi na hata alipokuja Upinzani alizulumiwa USHINDI.
Ni kweli kabisa.Umekuwa daktari sasa kujua kifo chake ki.esababishwa ma changamoto alizopitia.
Wewe umefanya utafiti?. Kuna mambo yanaonekana waziTatizo huwa unaongea kimihemko bila kufanya utafiti
Dah, mambo mengi muda mchache.......kuna wakati unataka kucheka hata kama hautaki.Hata hili jambo la kutokufungua jeneza limewapiga jiwe la usoni wanafiki.
Familia ya EL imenifundisha misimamo ya kweli na nafikiri ni maagizo ya EL mwenyewe.
Kama hukubaliki uchaguzi wa Nini?Kukubalika na watu haimaanishi unafaa kuwa Rais.Hata shetani anakubalika Sana.
Hujaelewa hoja yangu.Soma tena.Kama hukubaliki uchaguzi wa Nini?
Naona umekuja kwa nia ya ubishi na ushabiki, sitoenda hiyo njia kijana bado uwezo wako kuchambua mambo ni mdogo, endelea kuvuta shisha na kuandaa mikeka.Maslahi gani? Mpaka kupeleka jeshi Zanzibar kumzuia Maalim asiwe Rais? JK is an Idiot
Kila ubaya utalipwa siku moja asipolipa yeye kitalipa hata kizazi chakeMaslahi gani? Mpaka kupeleka jeshi Zanzibar kumzuia Maalim asiwe Rais? JK is an Idiot
Wewe sio mungu mkuu , usidhani kwamba wewe kwakuwa humpendi basi na wengine hawampendi , mungu sio athumani anajua hata vilivyomo vifuani kwetu muacheni mzee wa watu aenjoy maisha , mungu amlinde na hasadi zenu wachawi kama weweHana uvumilivu wowote. Alimfanyia hiyana Salim Ahmed Salim asiwe Rais na baadae akamfanyia Lowassa hiyana asiwe Rais. Mwisho wake utakuwa mbaya sana
Lowasa akiutaka Urais kwa hali na mali na wengi ulijawa na mihemko tu kama alivyosema Mwalimu 1995 kuwa "jina la Lowasa lilizungumzwa tena likizungumzwa kweli tena kwa ushabiki" 2015 ilikuwa hivyo pia ni ushabiki tu ila sio Jakaya wala Lowasa wote mfadhili wao alikuwa yule kila aendako Mama Kizimkazi naye yuko nyuma yake.Lowassa alikuwa ni chaguo la watu na ilikuwa ni makosa makubwa kumpa Nchi Magufuli.
Kikwete hapo aliwakosea Wananchi na hata alipokuja Upinzani alizulumiwa USHINDI.