Lowassa achomoza Kamati Kuu ya CCM Dodoma

Na kiukweli kabisa ukiacha misimamo ya chama na kuweka ya moyo, basi ukiitisha kura ya siri ndani ya hiyo Kamati Kuu kwa majina mawili ya Edo na Magu hakika Magu ajipata 30% basi ana bahati.
Sababu? Kama ni hofu ya kutumbuliwa, Magu ni wa Watanzania na siyo wa CCM. Hoja yako hiyo hiyo i-reverse kama kura za siri zitapigwa ndani ya CHADEMA au kwa watanzania wote, LOWASSA ataambulia nini?
 
Ukimya wa aliyekuwa mgombea wa Urais wa UKAWA,Edward Lowassa umezua mjadala kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.Kikao cha Kamati Kuu kimefanyika jana hapa Dodoma.

Mjadala ulianza pale Mwenyekiti Kikwete alipochagiza maelezo yake ya chama kuendelea kufanya maandalizi ya chaguzi zijazo na kutobweteka. Mwenyekiti alisema kuwa Lowassa bado ana uungwaji mkono na nguvu ya kisiasa na hutumia ukimya kujijenga zaidi.

Mwenyekiti alionya kuwa Lowassa hakufika mwisho na chama chapaswa kuutazama ukimya wake wa kuchangia na kutoa hoja juu ya Serikali ya Rais Magufuli kwa jicho la tatu. Wajumbe wote wa KK walikubaliana na Mwenyekiti Kikwete.

Wakati huohuo,Rais Magufuli ameaswa kuwa 'mpole kiasi' atakapoukwaa uenyekiti wa taifa wa CCM mnamo mwezi Juni mwaka huu. Imesemwa kuwa wanachama wa chama cha siasa hutendewa mambo kwa upole ili wabaki chamani na kukijenga chama. KK imeunga mkono hatua za Rais na Serikali yake kutumbua majipu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Teh teh teh!

Naona Bavicha mmeamua kijifariji na kujiliwaza.

Juzi mlikuwa Dumila mnakula mahindi ya kuchoma.
 
Bila lowasa magu asingepewa urais. Bila lowasa ccm ingeendelea kuwakumbatia mafisadi wake. Bila lowasa hakuna majipu
 
Sasa Mzee Tupatupa hiyo ya kumjadili Lowassa ilikuwa ajenda yenu pia?Kuna ile kauli ya wale wapendao kuzungumzia watu na si Mambo yenye faida wanaitwaje vile....................Mwambie JK ameshatoka CCM asiendelee kumzungumzia Lowassa...............
Mkuu huyo Mzee Throw Throw (wa Pull- Push) ni pandikizi la Fisadi Lowasa siku nyingi, na si ajabu kesha fungashiwa kitu kidogo kuleta habari ambazo hazina mbele wala nyuma.
 
Hongera Mzee Tupatupa kwa kutujuza kilichojadiliwa kwenye KK...kumbe Lowasa bado ni tishio kwa CCM? Umenifumbua macho mzee.
 
Ukimya au kelele za Lowassa hazina relevancy yeyote kwenye siasa za leo...this is a paradigm-shift...watu wanataka maendeleo sio kelele kwenye majukwaa
Wewe panya mdogo kabisa unasema haya ilhali tembo na wenye chama chao hawapati usingizi juu ya huyo unayemkejeli.
Tumia akili wewe,huijui Tanzania wala siasa kuliko Kikwete & co.
 
Lowassa ni smart boy,game zake anazijua Kikwete na sishangai kwa kutoa kwake tahadhari hizo.
Ila nimecheka sana walipomuonya JPM kupunguza ukali kidogo,ina maana hatowafukuza tena akina Sofia,Nchimbi na wengineo 'waliokihujumu' chama kama ilivyokuwa imepangwa awali?
 
Anayemuamini Tupa Tupa ni chizi tu!!!
Tumekushtukia wewe jamaa habari zako sio Za kweli Na nakushauri hiyo signature yako uifute tu
 
Ukimya wa aliyekuwa mgombea wa Urais wa UKAWA,Edward Lowassa umezua mjadala kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.Kikao cha Kamati Kuu kimefanyika jana hapa Dodoma.

Mjadala ulianza pale Mwenyekiti Kikwete alipochagiza maelezo yake ya chama kuendelea kufanya maandalizi ya chaguzi zijazo na kutobweteka. Mwenyekiti alisema kuwa Lowassa bado ana uungwaji mkono na nguvu ya kisiasa na hutumia ukimya kujijenga zaidi.

Mwenyekiti alionya kuwa Lowassa hakufika mwisho na chama chapaswa kuutazama ukimya wake wa kuchangia na kutoa hoja juu ya Serikali ya Rais Magufuli kwa jicho la tatu. Wajumbe wote wa KK walikubaliana na Mwenyekiti Kikwete.

Wakati huohuo,Rais Magufuli ameaswa kuwa 'mpole kiasi' atakapoukwaa uenyekiti wa taifa wa CCM mnamo mwezi Juni mwaka huu. Imesemwa kuwa wanachama wa chama cha siasa hutendewa mambo kwa upole ili wabaki chamani na kukijenga chama. KK imeunga mkono hatua za Rais na Serikali yake kutumbua majipu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mzimu wa Lowassa unazidi kuwatesa, na hawatabaki salama hao!
 
Lowassa bado ni mwanasiasa mwenye nguvu.Ukimya wake humpa heshima kwenye jamii
Sio ukimwa wake, ameishiwa yule mzee kawa jogoo gonjwa anvoogea kama mtoto wa Kindergarten unadhani nani anamda wa kumsikiliza, amesoma alama za nyakati wacha ajikalie kimnya tu ndio salama yake.
 
haha Lowassa amenifunza kitu kumbe ukimya unaweza kuwa silaha hatari zaid ya mabomu ya nyuklia!....
 
Ukimya wa aliyekuwa mgombea wa Urais wa UKAWA,Edward Lowassa umezua mjadala kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.Kikao cha Kamati Kuu kimefanyika jana hapa Dodoma.

Mjadala ulianza pale Mwenyekiti Kikwete alipochagiza maelezo yake ya chama kuendelea kufanya maandalizi ya chaguzi zijazo na kutobweteka. Mwenyekiti alisema kuwa Lowassa bado ana uungwaji mkono na nguvu ya kisiasa na hutumia ukimya kujijenga zaidi.

Mwenyekiti alionya kuwa Lowassa hakufika mwisho na chama chapaswa kuutazama ukimya wake wa kuchangia na kutoa hoja juu ya Serikali ya Rais Magufuli kwa jicho la tatu. Wajumbe wote wa KK walikubaliana na Mwenyekiti Kikwete.

Wakati huohuo,Rais Magufuli ameaswa kuwa 'mpole kiasi' atakapoukwaa uenyekiti wa taifa wa CCM mnamo mwezi Juni mwaka huu. Imesemwa kuwa wanachama wa chama cha siasa hutendewa mambo kwa upole ili wabaki chamani na kukijenga chama. KK imeunga mkono hatua za Rais na Serikali yake kutumbua majipu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
He!!! Bado wanamhaha!!!!!!
 
Back
Top Bottom