Lowassa achomoza Kamati Kuu ya CCM Dodoma

Naona umeamua kumpa promo Lowasa baada ya kuona amepotea kwenye siasa za Tanzania. Endelea kazi nzuri utalipwa zaidi
 
Kwa hiyo lile Zimwi aliloliweka kwenye Chupa linamuwinda mwenyewe???Nafikiria tu kwa sauti................Hakika aliyesema Chuki inakumaliza mwenyewe hajakosea,Mzee naona anajimaliza mwenyewe...............
Hivi yule Tatty aliyejitoa JF ni nani wako?
 
Matola kila chama kina taratibu zake, kuna siku utasema mbona mke wako hana Chupi nyeupe kumbe hapendi rangi nyeupe,




Jifunze kuwa mstaarabu,ustaarabu hauuzwi.Hivi ulikosa maneno mengine ya kuyatumia kufikisha hoja yako?Mtu mwenye hekima huchagua maneno ya kuongea na huwa mwangalifu asiwaumize wenzake kwa maneno yake.
 
Ukimya wa aliyekuwa mgombea wa Urais wa UKAWA,Edward Lowassa umezua mjadala kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.Kikao cha Kamati Kuu kimefanyika jana hapa Dodoma.

Mjadala ulianza pale Mwenyekiti Kikwete alipochagiza maelezo yake ya chama kuendelea kufanya maandalizi ya chaguzi zijazo na kutobweteka. Mwenyekiti alisema kuwa Lowassa bado ana uungwaji mkono na nguvu ya kisiasa na hutumia ukimya kujijenga zaidi.

Mwenyekiti alionya kuwa Lowassa hakufika mwisho na chama chapaswa kuutazama ukimya wake wa kuchangia na kutoa hoja juu ya Serikali ya Rais Magufuli kwa jicho la tatu. Wajumbe wote wa KK walikubaliana na Mwenyekiti Kikwete.

Wakati huohuo,Rais Magufuli ameaswa kuwa 'mpole kiasi' atakapoukwaa uenyekiti wa taifa wa CCM mnamo mwezi Juni mwaka huu. Imesemwa kuwa wanachama wa chama cha siasa hutendewa mambo kwa upole ili wabaki chamani na kukijenga chama. KK imeunga mkono hatua za Rais na Serikali yake kutumbua majipu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Lowasa bado ni mwiba na ataendelea kuwapeleka puta ma ccm
 
huyu mzee anachokisema hapa sio kweli; anaandika tu mambo ya kufikirika yasiyo na uhalisia wowote ili kumfufua mzee aliyekwisha kisiasa
 
Kwani Obama ni mwenyekiti wa Democratic? Sasa kama Magufuli mnataka kumpa uenyekiti chama kitaisimamia vipi serikali? Upuuzi huu upo Tanzania peke yake.

Hivi huyu Uhuru Kenyatta naye ni mwenyekiti kwenye chama kilichompa ugombea urais?
inaonekana ni kinda ktk mambo ya siasa, kila chama kina katiba yake ambayo ndio huongoza chama, sasa uwez kucompare mambo ya ccm na mambo ya taifa jingine,
 
Mzee Tupa Tupa;CCM ni chama cha kupanga mikakati ya kushinda chaguzi au ni chama cha wakulima na wafanyakazi?
 
Ukimya wa aliyekuwa mgombea wa Urais wa UKAWA,Edward Lowassa umezua mjadala kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.Kikao cha Kamati Kuu kimefanyika jana hapa Dodoma.

Mjadala ulianza pale Mwenyekiti Kikwete alipochagiza maelezo yake ya chama kuendelea kufanya maandalizi ya chaguzi zijazo na kutobweteka. Mwenyekiti alisema kuwa Lowassa bado ana uungwaji mkono na nguvu ya kisiasa na hutumia ukimya kujijenga zaidi.

Mwenyekiti alionya kuwa Lowassa hakufika mwisho na chama chapaswa kuutazama ukimya wake wa kuchangia na kutoa hoja juu ya Serikali ya Rais Magufuli kwa jicho la tatu. Wajumbe wote wa KK walikubaliana na Mwenyekiti Kikwete.

Wakati huohuo,Rais Magufuli ameaswa kuwa 'mpole kiasi' atakapoukwaa uenyekiti wa taifa wa CCM mnamo mwezi Juni mwaka huu. Imesemwa kuwa wanachama wa chama cha siasa hutendewa mambo kwa upole ili wabaki chamani na kukijenga chama. KK imeunga mkono hatua za Rais na Serikali yake kutumbua majipu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
kwani ni lazima awe MWENYEKITI wa CHAMA CHAKE?
 
kwa mujibu wa katiba ya chama chake, ndio ni lazma awe mwenyekiti wa chama chake
Hakuna sehemu yoyote wala kifungu chochote katika katiba ya ccm kinachosema Rais ni lazima awe mwenyekiti wa chama, wengi ni makasuku mmekariri.

Nyerere baada ya kung'atuka Urais aliendelea kuwa mwenyekiti wa ccm mpaka pale alipoamuwa kustasfu, nyinyi mazezeta ndio mmejaa JF hamjuwi lolote kazi yenu porojo tu.
 
Kwani Obama ni mwenyekiti wa Democratic? Sasa kama Magufuli mnataka kumpa uenyekiti chama kitaisimamia vipi serikali? Upuuzi huu upo Tanzania peke yake.

Hivi huyu Uhuru Kenyatta naye ni mwenyekiti kwenye chama kilichompa ugombea urais?
Mkuu usilinganishe maembe na mahindi, hao democratic hatulinganishwi nao kwa jambo lolote lile, kwanza marekani hata kwenye kampeni huwezi kuwakuta watu wamevaa nguo za chama, watu wanashika bendera za taifa.
 
Wakubwa wa serikali wanamkubali sana Lowasa ila vibaraka wamegeuza jina Lowasa kama njia ya kupatia madaraka kwa kumkashifu, haya maneno ni mwiba mchungu sana kwa Makonda na vibaraka wenzake.
 
Hawawezi kumaliza vikao bila kumtaja lowassa mkuu.nguvu ya lowassa ni kubwa ndani na nje ya chama.
Na kiukweli kabisa ukiacha misimamo ya chama na kuweka ya moyo, basi ukiitisha kura ya siri ndani ya hiyo Kamati Kuu kwa majina mawili ya Edo na Magu hakika Magu ajipata 30% basi ana bahati.
 
Back
Top Bottom