MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Haha badala hii ingekua furaha kwao CCM nashangaa wanalia!!!
Kila anachofanya Lowassa wanalia mpaka wanasahau kufuli lao!!!!
Waliposema Rais hawezi toka kaskazini si walijiaminisha?? Sasa vilio vya nini??
Mnatufumbua macho sisi WA kusini!tumekuelewa