Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Namunga mkono kuliko Samwel Sitta mnafiki
hivi wewe unatumia sehemu gani ya mwili kufikiri? Sidhani kama ni kichwa!
Namunga mkono kuliko Samwel Sitta mnafiki
Siku EL anakuwa SPIKA wa bunge la 10 narudisha CARD YA CCM mbele ya vyombo vya habari na siku hiyo wana JF ndio mtanifahamu waziwazi me ni mwanamageuzi makini ndani ya CCM pasipo uoga ninae taka mabadiliko mahali nilipo ndani ya hiki chama wananijua fika kuwa nina fuata mkondo ule wa mwalimu aliutaka uwe kuwatumikia watu na sio matumbo yetu.
jamani huyu mwizi kuwa spika tena du watu hawatosheki why?
Namunga mkono kuliko Samwel Sitta mnafiki
hivi wewe unatumia sehemu gani ya mwili kufikiri? Sidhani kama ni kichwa!
wa mwanzo kuchukua form ya uspika ni Sitta kachukua jana
Bunge linalokuja siyo lile EL alilozoea kulitishia. Achukue tu fomu atajuta kwani kina Lisu watamtoa kama mfano wa mafisadi wa nchi. Hana mvuto wala hatuitaji fisadi katika nafasi yoyote katika nchi yetu. Huyo wa kujichekesha bado hajajua joto ya jiwe iliyo mbele yake. Anaenda kwa mazoea tu!Hiv mnajua kikwete ninyi???? Amini msiamini mnaweza kushangaa EL anakuwa spika mpya wa bunge. bwana 'kuchekacheka' hajali chochote. Tangu lini mlisikia kikwete ametendea kazi malalamiko ya wananchi. Tena safari hii ndiyo mtalia zaidi atasafiri nchi za nje mpaka mlie.
hivi unaota kwamba ccm siku moja itakuwa safi?
Ni kweli na ndo maana kamtanguliza Chenge ili kupoteza maboya na kisha Makamba akaongeza muda kwa kisingizio kuwa turn up hairidhishi. Cjui alitaka wangapi wagombeeKuna taarifa ya kuwa Edward Lowassa ameanza mikakati ya kuusaka Uspika wa Bunge la 10 la Jamhuri ya muungani wa Tanzania.