kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Usiwajali wanaokutupia maneno yakejeli kwani maneno yao ni kama maji ya moto hayachomi nyumba,afadhali wewe umesema unamtaka wako mwenyewe wengine wanasema sijui rafiki yangu mara jirani,utampata mwenye kheir na wewe mtangulize Mungu na atakujalia utampata mwenye kukujali anaekuheshimu na kukupenda kwa dhati.....
Sasa hapo umemsaidia au ndio unampotosha kabisa?ni bora aelezwe ukweli la sivyo kilometer zitazidi kusogea bila kumpata huyo anayemtaka,Dada punguza masharti kidogo hasa hapo kwenye ngawila,toa kabisa hilo neno.