QueenQueen
Member
- Oct 6, 2011
- 26
- 17
Watu wanolewa hata wakiwa in their 40s inategemea ulivyopangiwa na Mungu.
nakubali kusoma hujui ila hata picha ya mgomea unashindwa kuitambua?
wewe 35 unataka finencial stable mkaka wa ova 35 utampata wapi??
mimi nakushauri ubadilishe tittle uweke:NAITAJI WA KUNIZALISHA