teh teh teh teh ..... KakaKiiza mwenzio yupo siriazi wewe unafanya utani!MKuu gear unayotumia kwenye tope la JF haifai tumia gear kubwa ya land cruiser siyo ya bajaj utatoka kapa hapa JF nijumba la sanaa usilete usanii!!
Sihitaji mada yangu ihamishiwe kule love connect. Hapa inatosha. Kimsingi upweke unanitafuna sana. Katika umri wangu wa miaka 34 sijawahi kuwa na mwenza niseme huyu ni wangu japo kwa mwaka. Kipindi kirefu pia niko singo. Najua kuna makosa kadhaa ya kiufundi nimeyafanya huko nyuma ambayo kwa namna fulani yananigharimu. Kimsingi napenda sasa kuwa na mwanamke wa kuishi naye niweze kumwita mke. Ajabu sijui kwa nini sina access na wanawake kama ilivyokuwa awali. Tunaweza kushea changamoto kama hizi ambazo najua siko peke yangu.
I'm one of them!Yaani tunafanana kabisa hata umri nao ni tofauti kidogo sana,mimi nimeamua kuwa mtazamaji,na nimekua mtazamaji kwa miaka 3 sasa,nafikiri nahitaji nifikiri vinginevyo kwani umri nao ni tatizo,ila kazi tunayo kwa wanawake wa dotcom hawa!