Liyumba afutiwa shitaka moja

Una maana gani?Ebu fafanua zaidi....Una maana gani kosa lililobaki ni la kikazi na si la kimahakama?Ni nini kilichobadilisha kosa kuwa la kikazi instead of mahakama?
Nadhani kama kazi aliyopewa ni ya wananchi,basi they still have the case,huyo bosi wake sisi wananchi ndio bosi wake,acha maluwe luwe mkuu!
 
There are issues regarding the competence of government prosecutors. Kesi nyingi serikali inapoteza sio kwamba watu hawakutenda makosa, lakini ni kwa sababu ya incompetence ya prosecution team katika kujenga na kusimamia kesi. It's incredible!!
 
There are issues regarding the competence of government prosecutors. Kesi nyingi serikali inapoteza sio kwamba watu hawakutenda makosa, lakini ni kwa sababu ya incompetence ya prosecution team katika kujenga na kusimamia kesi. It's incredible!!

Tatizo ni kwamba serikali imeshindwa kabisa ku-prove kesi yake, unasema jamaa kaisababishia serikali hasara ya kiasi gani (serikali imeshindwa kuja na kuja na dollars $$ figures) sasa pana kesi hapo...jamaa ata walk out free soon. Na hata hivi sasa anastahili kupewa dhamana maana kosa lililo mbele yake ni jepesi kabisa na haliangukii kati ka sheria ya uhujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom