Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Nasikia Mahakama ya Kisutu imemwachia huru
Huh!
Unasikia toka kwa nani?
.........NA FEDHA NI JAWABU LA MAMBO YOTE.!.....
More details: Mahakama imemfutia shitaka la kuisababishia serikai hasara. Anatakiwa ajitetee kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi. kwa kuwa masharti ya kosa lililobaki ni nafuu, ni dhahiri kwua ataachiwa kwa dhamanaYa kweli hayo wadau?
More details: Mahakama imemfutia shitaka la kuisababishia serikai hasara. Anatakiwa ajitetee kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi. kwa kuwa masharti ya kosa lililobaki ni nafuu, ni dhahiri kwua ataachiwa kwa dhamana
Nasikia Mahakama ya Kisutu imemwachia huru
More details: Mahakama imemfutia shitaka la kuisababishia serikai hasara. Anatakiwa ajitetee kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi. kwa kuwa masharti ya kosa lililobaki ni nafuu, ni dhahiri kwua ataachiwa kwa dhamana
Kutoka Mahakama ya hakimu Mkazi KisutuHuh!
Unasikia toka kwa nani?
Sasa ni kipi cha kweli Mkuu wangu MN?
Nadhani ni namna ya kufunika walokula naye!
He has learned a lesson hata akipewa dhamana.
Dawa ya muovu siyo lazima afe ndio tuone kaadhibiwa.Kudhalilika kulikompata, mateso ya kukosa uhuru, soni atakayokuwa nayo pale akiwa nje ya mahabusu - vyote ni mateso.
He has learned a lesson hata akipewa dhamana.
Dawa ya muovu siyo lazima afe ndio tuone kaadhibiwa.Kudhalilika kulikompata, mateso ya kukosa uhuru, soni atakayokuwa nayo pale akiwa nje ya mahabusu - vyote ni mateso.