Livingstone Lusinde hakumaliza Darasa la Saba

jambo1

JF-Expert Member
Jul 5, 2009
241
29
Wadau mimi ni mkazi wa Kijiji cha Mbigiri Kata ya Magole wilayani Kilosa..nimesoma shule ya Msingi Mbigiri ambayo Mbunge wa Mtera Bw Livingstone Lusinde naye alisoma huko..,Nimeongea na alitekuwa mwalimu wa Shule hiyo(amestaafu kwa sasa) kuhusu ndugu Lusinde.,lakini amenithibitishia kuwa Lusinde hakumaliza darasa la Saba aliishia Darasa la Sita..na wakati huo alikuwa anaishi kitongoji cha Misufiti maarufu kama Gheto..Nakaribisha maswali zaidi nitayajibu..
Polis - View MpGeneral
 
Darasa la saba ndo sifa ya ubunge kwa maana hiyo lusinde hafai maana hana sifa iyo.,.wanaharakati mko wapi?
 
Wadau mimi ni mkazi wa Kijiji cha Mbigiri Kata ya Magole wilayani Kilosa..nimesoma shule ya Msingi Mbigiri ambayo Mbunge wa Mtera Bw Livingstone Lusinde naye alisoma huko..,Nimeongea na alitekuwa mwalimu wa Shule hiyo(amestaafu kwa sasa) kuhusu ndugu Lusinde.,lakini amenithibitishia kuwa Lusinde hakumaliza darasa la Saba aliishia Darasa la Sita..na wakati huo alikuwa anaishi kitongoji cha Misufiti maarufu kama Gheto..Nakaribisha maswali zaidi nitayajibu..
Polis - View MpGeneral

Kwa hiyo?
 
Mkuu inamaana huyu "kudadadeki" hata ya aliiogopa umande!!!? Na ilikuwaje sasa akafikia hapa alipo!?
Mmh!! Basi Tz ni zaidi ya tuijuavyo!! Ila nakubaliana na wewe 50.1% maana hata IQ yake iko chini sana na ile mitusi yake....mmh!!
 
Darasa la saba ndo sifa ya ubunge kwa maana hiyo lusinde hafai maana hana sifa iyo.,.wanaharakati mko wapi?

Hapana mkuu katiba inasema sifa ya kuwa mbunge ni uwe unajua kusoma na kuandika aidha Kiingereza au Kiswahili. Kwa hiyo anyone who is literate anaweza kuwa mbunge hata kama hana shule rasmi.

Ila niseme tu kwamba sishangae kabisa kwamba huyu bwana haja makiza shule ya msingi. Katiba mpya iweke wazi kiwango cha elimu mtu anayo takiwa kuwa nayo kama anataka kuwa mbunge.
 
Wadau mimi ni mkazi wa Kijiji cha Mbigiri Kata ya Magole wilayani Kilosa..nimesoma shule ya Msingi Mbigiri ambayo Mbunge wa Mtera Bw Livingstone Lusinde naye alisoma huko..,Nimeongea na alitekuwa mwalimu wa Shule hiyo(amestaafu kwa sasa) kuhusu ndugu Lusinde.,lakini amenithibitishia kuwa Lusinde hakumaliza darasa la Saba aliishia Darasa la Sita..na wakati huo alikuwa anaishi kitongoji cha Misufiti maarufu kama Gheto..Nakaribisha maswali zaidi nitayajibu..
Polis - View MpGeneral
Hata Mhesimiwa mkuu akufanya shahada ya udhamili, wala uzamivu, lakini sasa ni Daktari wa Filosofia....!
 
mbona humalizii mkuu pia Mzee Lusinde siye baba yake ni mtoto wa houseboy wa mzee Lusinge, swali hivi ni kwa nini anatumia jina la boss wa baba yake?
 
Duh!! Hii kali. Jamaa kasoma miaka 8 (CV iliyoko tovuti ya Bunge) kwa marasa pungufu ya 7. Mmmhh!
 
Mtu yeyote makini atajua tu hilo kutokana na ongea ya mtu kwenye public!
Mbaya zaidi ujue mtu akama anaweza kuongea hivyo mbele za wakubwa na watoto, basi ujue mkewe ndani ana shida, na hakuna tusi asilowahi kutukanwa!
Pole mama, Mrs Lusinde!
 
Lusinde hawezi akawa amemaliza la saba ningeshangaa sana!
Hii ni habari ya ukweli na uhakika!
 
Wadau ni uhakika..,mi nimemaliza miaka ya 2000..,and nafahamu hata baadhi ya walimu wa Shule hiyo..Mwalimu wake ameniambia Lusinde alikuwa hajui hata kuchana nywele.,shuleni pekupeku..ni balaa ni mengi but najitahidi nipate mahojiano naye then nimrecord nitapost hiyo audio...
 
Hapana mkuu katiba inasema sifa ya kuwa mbunge ni uwe unajua kusoma na kuandika aidha Kiingereza au Kiswahili. Kwa hiyo anyone who is literate anaweza kuwa mbunge hata kama hana shule rasmi.

Ila niseme tu kwamba sishangae kabisa kwamba huyu bwana haja makiza shule ya msingi. Katiba mpya iweke wazi kiwango cha elimu mtu anayo takiwa kuwa nayo kama anataka kuwa mbunge.

thawa thawa kabitha mukubwa
 
Kwa kusikiliza hoja zake utajua tu kuwa hata la Saba hajamaliza. Hajui maana ya LY kama tulivyokuwa tunaitwa enzinhizo
 
mnataka lusinde ajiue kukwepa aibu hii.. huyu mbunge anafaa sana kushirikiana na akina isha mashauzi kuimba taarab.
 
Jamani Katiba inaruhusu mtu yeyote awe mbunge ili mradi tu anajua kusoma na kuandika, haijataja kiwango cha madarasa. Huyu Livingstone waachieni wananchi wake, pengine wao waliona yeye ndo the best. Wagogo bana, usikute walihongwa ubuyu na bakuli moja moja tu la mtama wakaeleweka. Very cheap.
 
Back
Top Bottom