Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,520
Ila niseme tu kwamba sishangae kabisa kwamba huyu bwana haja makiza shule ya msingi. Katiba mpya iweke wazi kiwango cha elimu mtu anayo takiwa kuwa nayo kama anataka kuwa mbunge.
Ni kiwango gani cha elimu kiwe ndiyo kiwango cha chini kabisa ambacho mbunge atakiwe kuwa nacho?