Katika derbies nikizokuwa nadharau, hii ya Merseyside inaongoza. Kwa ubovu wa Everton na uteja wao kwa Liverpool miaka hii ya karibuni, nilijua Livakuku atajipigia tu. Kumbe sivyo.
 
Everton wanavyoshangilia utadhani wamebeba kombe kumbe hawaendi kokote...kwli mchawi wako hatoki mbali aisee🤣🤣
Si ilikuwa derby...

Mashabiki kindakindaki wa Liverpool wanasema bora wakose ubingwa ila sio kufungwa na Everton...


Umeona sasa wanavyoshangilia😂😂
 
Derby na iheshimiwe.

Gemu zilizosalia kwa Arsenal, ngumu, ngumu, ngumu mno. Arsenal tuna mlima wa kupanda.😢
Screenshot_20240425_002409.JPG

Nikiweka ushabiki pembeni kwa mechi zilizosalia Manchester city ana nafasi kubwa sana ya kuchukua ubingwa.
Screenshot_20240425_002446.JPG
 
Back
Top Bottom