Sura halisi ya Pep ndipo inapokuja kuonekana wakati kama huu.Hili kombe tunabeba...jana tulikuwa tunafanya mazoezi...weekend hii ndo tunacheza mechi sasa🤠🤠
Mtoe Arsenal hapo, unachafua comment yako mkuuView attachment 2973204
mbio za Ubingwa ni arsenal na man city.
Wanatafta angalau europa au conference?Man u leo wametembeza kipigo kinaitwa DOGO USINIZOEE.
Leo kama Shefield wangeshinda timu nzima ingeparanganyika.
Everton ni mbaya sana game za mwisho, kumbuka hata msimu uliopita alifufukia kwetu arsenal.Katika derbies nikizokuwa nadharau, hii ya Merseyside inaongoza. Kwa ubovu wa Everton na uteja wao kwa Liverpool miaka hii ya katibuni, nilijua Livakuku atajipigia tu. Kumbe sivyo.
Sasa nimuweke nani?Mtoe Arsenal hapo, unachafua comment yako mkuu
Abaki Man City tuu, liver alishindwa kumpata city kwa point moja tuu sasa ndo aje aweze Arsenal kazidiwa point mbili.?Sasa nimuweke nani?
Aston villa katugharimu sana.
Usiwadharau arsenal, wana timu bora sana,City anaondoka na huu Ubingwa bila shida mana sioni atafungwa na nani game zilizobakia na pia Arsenal lazima ataharibu mbele hapo Arsenal sio tishio kwa city
Si ilikuwa derby...Everton wanavyoshangilia utadhani wamebeba kombe kumbe hawaendi kokote...kwli mchawi wako hatoki mbali aisee🤣🤣
wahuni wana mahasira afu unazidi kuwarusha stimuAlison tangu arejee kutoka majeruhi amekuwa mtamu sana 😂 wahuni wanajipigia tuu
Leo brighton ataushangaza ulimwengu wa sokaAbaki Man City tuu, liver alishindwa kumpata city kwa point moja tuu sasa ndo aje aweze Arsenal kazidiwa point mbili.?
Pep kabeba tena kwan bado mnamatumain yapiDerby na iheshimiwe.
Gemu zilizosalia kwa Arsenal, ngumu, ngumu, ngumu mno. Arsenal tuna mlima wa kupanda.😢
View attachment 2973209
Nikiweka ushabiki pembeni kwa mechi zilizosalia Manchester city ana nafasi kubwa sana ya kuchukua ubingwa.
View attachment 2973210
Pole 😂Leo brighton ataushangaza ulimwengu wa soka
FT brighton 2-2 man city
Kama shabiki lia lia nnaekonda kwa stress za arsenal mwisho wa msimu bado nna matumaini ila Pep sio mtu mzuri kabisa ni tishio.Pep kabeba tena kwan bado mnamatumain yapi
Wakija nawaitia Everton 😂wahuni wana mahasira afu unazidi kuwarusha stimu
wanakuvutia kasi,wanakuja na gubu zao
Ngoja uonePole 😂