Bado arsenal 😂 Ila nahisi huyu ataenda vzr mpaka game la mwisho ila ndio hvy Man City tupo vzrMafuta yanajitenga na maji
Nunez ni Galasa kabisa anakosa nafasi nyingi sana.Ni bora kuanza na Jayden Danns kuliko huyu Yakubu wa NigeriaView attachment 2973164
Mwisho mtatombwaFriends of Man City tunacheka tuu 😂
Friends of Man City tunacheka tuu 😂
Kama nyie mlivofanywa leo na Everton 😂 tena bao mbili jamaa ht hajachomoa ameunganisha humo humo 😂Mwisho mtatombwa
Everton wanavyoshangilia utadhani wamebeba kombe kumbe hawaendi kokote...kwli mchawi wako hatoki mbali aisee🤣🤣Mwendo mmeumaliza imani Mmeilinda😂
Mm n Man City kitambo, Chelsea nilikosea njia tuu mzee wangu 😂Hangaika na timu yako ilokula kono la nyani jana🤠🤠...wacha kudandia timu za watu shehe
Kwan nyie mnaoongoza ligi mnakwenda wap.?Everton wanavyoshangilia utadhani wamebeba kombe kumbe hawaendi kokote...kwli mchawi wako hatoki mbali aisee🤣🤣
Hili kombe tunabeba...jana tulikuwa tunafanya mazoezi...weekend hii ndo tunacheza mechi sasa🤠ðŸ¤Kwan nyie mnaoongoza ligi mnakwenda wap.?