Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,531
- 42,950
Sura halisi ya Pep ndipo inapokuja kuonekana wakati kama huu.Hili kombe tunabeba...jana tulikuwa tunafanya mazoezi...weekend hii ndo tunacheza mechi sasa🤠ðŸ¤
unakumbuka games za mwisho alikuwa anacheza na Aston Villa dkk ya 70 amepigwa mbili lkn mpaka dkk ya 85 anaongoza 3 😂 sasa yule ndie Pep.