The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Hahahahaha!!!! Elia taratibu bana usiku nisijepatwa na ndoto hii mimi lolHa ha haaa, mkuu... kuna mi-ndoto mibaya bora usiote, unaota unafukuzwa na watu na mapanga eti wanahitaji viungo vyako, sijui unakoswa koswa kugongwa na bodaboda, umeibiwa kwenye daladala, umelazwa wodi ya kina mama. ound: