Live you LIFE to the FULLEST...

AshaDii

Platinum Member
Apr 16, 2011
16,190
18,080




An inspiration To JF/GT from Asha D with Love….


Mwanadamu yeyote huzaliwa, huishi, hutaabika/hunufaika na hatimae hufariki.
Kitutofautishacho kila mmoja na mwingine
ni ndoto zetu… Hizo ndoto ziwe
yalo ya dunia ama yalo vuka dunia; na ni jinsi gani kila mmoja husimamia na
kuhakikisha hio (zo) ndoto imefika mahala alipolenga…
Lakini hata hivyo kuna wale wasioota kabisa na kuishi kama gofu...


Hatuchagui kuzaliwa, hatuchagui wazazi wetu
Wala hatuchagui mazingira utayozaliwa na yenye hali ipi,
Wala jinsi utavyolelewa na watakao husika na kukulea..
Wengi kama si woote hatujagui kwamwe wala kupenda kufa-na
Wala hatuchagui mda na jinsi gani tutafariki….

LAKINI
pamoja na wimbi lote lituzungukalo wanadamu
Katika maisha yetu haya… La muhimu kuliko yooote
Haya mawimbi ni kua "With Determination" twaweza chagua
Jinsi ya gani ya kuishi… Hivyo basi kama huridhiki na the way
Unaishi sasa HABARI NJEMA ni kwamba waweza balika/badilisha
Hayo maisha; Maana katika options zetu maishani mwetu – hilo ndilo
Liko katika uwezo wetu… Na hio ni kwa kuzingatia Malengo yetu,
Nguvu zetu, Utulivu wetu, Umakini wetu na Most importantly
Kumhusisha Mwenyezi Mungu mana bila yeye waweza elemewa….

JT/GT Nawatakia siku njema/na zijazo PLUS Maisha bora yenye upendo



Asha D.
Pamoja Sana.

Comments be it positive/Negative are most welcome – Thank You.

 
We via mobile LOVE ME and i‘ll LIVE for you while you LOVE ME!

Mmmhhh
dahh via simu tu Leo
Kama nilivyokuambia..

Me always love you
Me always live for you
Me always hug you
Me always kiss you
Me always cherish you
Me always comfort you
Me always help you.
Me always here for you
coz your my family and is nothing
important than family..we share a lot
since Nyerere time.. I just want to say I
LOVE you so much..
 
Mmmhhh
dahh via simu tu Leo
Kama nilivyokuambia..

Me always love you
Me always live for you
Me always hug you
Me always kiss you
Me always cherish you
Me always comfort you
Me always help you.
Me always here for you

coz your my family and is nothing
important than family..we share a lot
since Nyerere time.. I just want to say I
LOVE you so much..
Sidhani kama macho yangu ni mabovu ila nimeona hapo tu, kuna mtu nilimtuma akuletee mihogo yako ya kukaanga amekuletea???
 
Huwa najiuliza kuna binadamu kweli hajawahi kuota maishani mwake au ndio hao wanaishi kama GOFU.
 
I’m afraid of the dark,
‘specially when I’m in a park
And there’s no-one else around,
Ooh, I get the shivers.
I don’t want to see a ghost,
It’s a sight that I fear most.
I’d rather have a piece of toast and
watch the evenings news.
Life, oh life, oh life, oh life doo,
doot doot dooo. Life, oh life,
oh life doo, doot dooo.
I’m a superstitious girl,
I’m the worst in the world.
Never walk under ladders, I keep
a rabbit’s tail. I’ll take you up on a dare,
anytime, anywhere. Name the place
I’ll be there, bungee jumping,
I don’t care!
Life, oh life, oh life, oh life doo,
doot doot dooo. Life, oh life,
oh life doo, doot dooo.
So after all’s said and done
I know I’m not the only one.
Life indeed can be fun, if you really want to.
Sometimes living out your dreams,
Ain’t as easy as it seems.
You wanna fly around the world,
In a beautiful balloon.
Life, oh life, oh life, oh life doo,
doot doot dooo. Life, oh life,
oh life doo, doot dooo. Life, oh life, oh life,
oh life doo, doot doot dooo. Life,
oh life, oh life, oh life doo, doot dooo.
Doo doot doot dooo. Repeat
Oh life, oh life. Repeat
 
Sidhani kama macho yangu ni mabovu ila nimeona hapo tu, kuna mtu nilimtuma akuletee mihogo yako ya kukaanga amekuletea???
Snow imejaa barabarani
Amesahau kuweka cheni
Kwenye matairi na hana 4wd
sasa ntaipata next summer.
Thanx..
 

So after all's said and done
I know I'm not the only one.
Life indeed can be fun, if you really want to.
Sometimes living out your dreams,
Ain't as easy as it seems.
[FONT=Arial Narrow[/QUOTE]


Pearl Mpenzi umenikumbusha mbaaaaaaaaaaaali.... THANK YOU.... I Loved this song ya Des'ree (or is it des'rii??) enways sijui spelling ya singer. Its a fun song with fun words.... Hope you are enjoying...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom