AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
An inspiration To JF/GT from Asha D with Love….
Mwanadamu yeyote huzaliwa, huishi, hutaabika/hunufaika na hatimae hufariki.
Kitutofautishacho kila mmoja na mwingine ni ndoto zetu… Hizo ndoto ziwe
yalo ya dunia ama yalo vuka dunia; na ni jinsi gani kila mmoja husimamia na
kuhakikisha hio (zo) ndoto imefika mahala alipolenga…
Lakini hata hivyo kuna wale wasioota kabisa na kuishi kama gofu...
Hatuchagui kuzaliwa, hatuchagui wazazi wetu
Wala hatuchagui mazingira utayozaliwa na yenye hali ipi,
Wala jinsi utavyolelewa na watakao husika na kukulea..
Wengi kama si woote hatujagui kwamwe wala kupenda kufa-na
Wala hatuchagui mda na jinsi gani tutafariki….
LAKINI pamoja na wimbi lote lituzungukalo wanadamu
Katika maisha yetu haya… La muhimu kuliko yooote
Haya mawimbi ni kua "With Determination" twaweza chagua
Jinsi ya gani ya kuishi… Hivyo basi kama huridhiki na the way
Unaishi sasa HABARI NJEMA ni kwamba waweza balika/badilisha
Hayo maisha; Maana katika options zetu maishani mwetu – hilo ndilo
Liko katika uwezo wetu… Na hio ni kwa kuzingatia Malengo yetu,
Nguvu zetu, Utulivu wetu, Umakini wetu na Most importantly
Kumhusisha Mwenyezi Mungu mana bila yeye waweza elemewa….
JT/GT Nawatakia siku njema/na zijazo PLUS Maisha bora yenye upendo
Asha D.
Pamoja Sana.
Comments be it positive/Negative are most welcome – Thank You.