Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,264
Partner nawe pia.. ila naona imefika muafaka tujiandae kuzindua ile kitu.
Partner kitu ipi tena!!?Embu niambie vazi litakaloendana na uzinduzi nijue.....!
Partner nawe pia.. ila naona imefika muafaka tujiandae kuzindua ile kitu.
Huwa najiuliza kuna binadamu kweli hajawahi kuota maishani mwake au ndio hao wanaishi kama GOFU.
Mmmhhh
dahh via simu tu Leo
Kama nilivyokuambia..
Me always love you
Me always live for you
Me always hug you
Me always kiss you
Me always cherish you
Me always comfort you
Me always help you.
Me always here for you
coz your my family and is nothing
important than family..we share a lot
since Nyerere time.. I just want to say I
LOVE you so much..
JT/GT Nawatakia siku njema/na zijazo PLUS Maisha bora yenye upendo
mbona umenitisha? unatoa wosia?
Oyyy oyyy oyy!!
Mpaka Fyenst kaona wivu kweli sio mchezo!!Thanks dearest me love you saaaaana bila kipimo!!
Asha umetoa changamoto nzuri!But hebu nijibu swali hili,kwanza wakati waliokuletaduniani wanaamua hayo haukuulizwa ili utoe maoni kama uje ama la,hivyo uliburuzwa kuja,na wakati unakuja hukujua unakuja wapi,hivyo inawezekana kabisa usijue wale waliokuleta walitaka ufanye nini coz haukushirikishwa kwenye mpango huo,also inawezekana hicho unachodhani ni ndoto yako ikawa ni kinyume na malengo ya uwepo wako hapa duniani,je kwa hayo machache how can u possibly now whats brings u and both of us in this crazy world?
Nakusubiria mpenzi....No probs..
Nway yule jamaa tulieongea
Naye umeona kitu alicho andika
dahhhh amenipa raha sana mhhhh
nadhani ni uchokozi tu sababu alijua
tutasoma..Nway kama hujaona ntakuonyeshea nikirudi home.. itabidi
Nimtafute w/end hii hahahshhah lol..
Hehhehe Partner casual gani hii ya kuwatoa watoto wa watu macho kwenye socket???!Nitafutie nyingine bwana itakayofanya wakodoe ila sio saana mpaka nijimwagie kawine kangu!!Partner tokana na kwamba sehemu yenyewe ni casual kiaina mi nimechagua hio ya kushoto, hebu naomba comments zako.... (Lizzy najitetea kuhusu boobs - on a weekeng night in casual clothes something has to peak out kidogo...lol)
View attachment 30398
Hehhehe Partner casual gani hii ya kuwatoa watoto wa watu macho kwenye socket???!Nitafutie nyingine bwana itakayofanya wakodoe ila sio saana mpaka nijimwagie kawine kangu!!