Qualbalasad
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 131
- 41
hana tofauti na muuza magazeti, anaongea badala ya
-kuamua
-kukemea
-kupiga marufuku aina ya uchochezi
-hana hatua zozote kuhusu uchochezi, mauwaji na kuchinja
anapiga story kama muuza kahawa
Nakuunga kwa hili Rais katika hotuba yake, ananyesha kujikosha na sio kukemea hali ilivyo na uovu unayotokea, kuhusu kuhudhuria misiba kwani yeye ni lazima afanye hivyo kazi zake huwa anazipitia muda gani? Ndio maana Rais analaumiwa kwa kupewa taarifa zisizo sahihi. Kudhuru msiba wa shekhe au Mchungaji hii sio kazi ya Rais wa JMT, japo wengi wasio jua majukumu ya rais uona ni fahari. RAIS ANATAKIWA KUKEMEA UOVU BILA KUJALI ITIKADI YAKE. Uovu ni uovu, hauna ustaarabu.