Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,317
- 10,938
Wame kuelewa mkuu. Tatizo wengi wa Wacristo hawaijui dini yao nini inaamrisha na kipi ina kikataza. Ndio maana usishangae mchungaji kalewa viroba anawaambia waumini wake kuwa waislamu wana taka kulipua makanisa siku ya mkesha wa pasaka.Suala la kuchinja wakristo tunakurupuka, Biblia iko wazi. Hakuna mahala popote inapotoa kanuni za kuchinja na nani achinje. Sheria inakataza kula kibudu, na damu. Vinginevyo ni kutaka kuendeleza vurugu na mabishano yasiyo na mchango chanya kwa jamii.