Nilitegemea Tundu Lisu kama Rais wa chama cha wanasheria angeongea tofauti na alivyofanya, amejikita ku-criticize kama kawaida yake. Waziri wa sharia alisema kuwa sharia mpya huanza kuwa applied pale inapotungwa na kupishwa (haiendi nyuma), na kuwa kwa mikataba ya madini iliyokwishaingiwa kabla ya sharia hii (miswada ya madini iliyo ktk mjadala) basi itabidi waongee na hao wawekezaji ili kukubaliana na baadhi ya mambo.
Kwa hiyo Rais wa wanasheria baada ya kuisoma hiyo miswada na kuzingatia kauli ya waziri wengi tulitegemea angekuja na hoja za kisheria (kutokana na weredi wa members wa hicho chama) ambazo zingeonyesha au kuhalalisha sharia mpya kutumika hata kwa mikataba ya huko nyuma. Kwa ufupi angeshauri ni nini cha kufanya ili maoni hayo yahusishwe ndani ya sharia kabla haijapitishwa.
Badala yake amekuja kuongea kama watu wengine wa kawaida tu. Hapo ndo huwa nashindwa kumwelewa kabisa Lisu; anapenda kuonyesha makosa na umbumbu wa wengine akijichukulia kama ndo mwanasheria mahiri pekee hapa nchini.
Kwa hiyo Rais wa wanasheria baada ya kuisoma hiyo miswada na kuzingatia kauli ya waziri wengi tulitegemea angekuja na hoja za kisheria (kutokana na weredi wa members wa hicho chama) ambazo zingeonyesha au kuhalalisha sharia mpya kutumika hata kwa mikataba ya huko nyuma. Kwa ufupi angeshauri ni nini cha kufanya ili maoni hayo yahusishwe ndani ya sharia kabla haijapitishwa.
Badala yake amekuja kuongea kama watu wengine wa kawaida tu. Hapo ndo huwa nashindwa kumwelewa kabisa Lisu; anapenda kuonyesha makosa na umbumbu wa wengine akijichukulia kama ndo mwanasheria mahiri pekee hapa nchini.