CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Mimi mgeni.....
....hapa JF lakini sio katika mapenzi.
Mimi mgeni.....
Sipendi mpenzi wangu ajisikie vibaya kusema amekwama kifedha.. Kwa kisingizio kuwa atakuwa amejishusha kupewa pesa na mwanamke..
mie sitaki anibwagie manguo yake nifue.....kila mtu afue zake.
Nina maana ni wazembe sana na wanadharau kujibu sms!
lala na mkasi usiku unazikata!ataona azinusuru kwa kutokuvaa na kero yako itaisha!