Demu mmoja amenitesa sana na hiyo kitu aiseeh ! Yaani ananifanisha na mabwana zake wa zamanii, iliniuma saaana ! Halafu ana kiburi ile mbaya. Siku ya kumwaaga nilimuonyesha nina furaha sanaa, nikamletea keki kuuubwa nimeiandika 'thanks for your love !!' then baada ya hapo nikasepa jumla, no sms no call. Hakuamini, ila inataka moyo ooh hoo!
duh!wewe ni noma!!unaweza kuua mtu