Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 627
- 2,788
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Update: Dada amepata mchumba
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Update: Dada amepata mchumba