Licha ya Mapungufu, Sheria Mpya ya Uchaguzi Pia ina Mazuri Yake!, Imerejesha Mamlaka ya Uchaguzi kwa Wananchi, Hakuna Kupita Bila Kupingwa!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,502
113,610
Wanabodi,
Hili ni bandiko mwendelezo wa three series za uchambuzi wangu wa sheria mpya ya Uchaguzi, 2023. Kama hukuona 1st series, anzia hapa Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1 kisha uje hapa
Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1
Kisha Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.
Pia unaweza kupita hapa Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!. na hapa Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Binadamu tuna mtindo wa kuangazia mapungufu zaidi na kujikuta tunakuwa blinded na mapungufu hivyo kutoona mazuri, hata kwenye Biblia ukitaja tuu jina la Yuda, mind za wengi zinakwenda kwa usaliti wa Yuda Iskariote, kumbe kwenye watumishi wa Yesu, kulikuwa na Yuda wawili, Yuda Iskariote msaliti na Yuda Tadei mtu mwema. Jina la Yuda limeghubikwa na usaliti hadi wema wa Yuda Tadei kufunikwa na usaliti wa Yuda Iskariote.

Ndivyo ilivyo hii sheria mpya ya uchaguzi, kufuatia sheria hii kuletwa na ubatili ule ule tunaoupigia kelele kila uchao, tunajikuta tunakuwa too blind to see mema na mazuri ya muswada huu
Hivyo leo naendelea na uchambuzi wangu wa kifungu hadi kifungu huku nikiainisha the good, the bad and the ugly.
Karibu.
1701496726406.png

Leo naendelea na uchambuzi wangu wa muswada huu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023, kwa mukhtaasari wa sura zote 10 za sheria hii, kuwaelimisha elimu ya uraia na elimu ya sheria na haki ili Watanzania tuitumie kikamilifu hii miezi 3 ya kutoa maoni na mapendekezo ya maboresho ya sheria hii.
Muswada huu unatunga Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani ya mwaka, 2023. Kwa ujumla, Sheria hii inaunganisha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292. Hivyo sasa masharti ya uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani ni sheria moja na kutekelezwa na mamlaka moja ambayo ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hapa ninapendekeza chaguzi zote nchini, uchaguzi wa Rais na Wabunge, Madiwani na Serikali za Mitaa, ufanyike siku moja na kusimamiwa na Tume moja Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hili ni jambo jema!.
Wiki iliyopita nilichambua sura ya kwanza mpaka ya tatu, leo naendelea

Sura ya Nne ya Muswada inaweka masharti yanayosimamia uchaguzi wa Wabunge na imegawanyika katika sehemu mbili, sehemu ya kwanza inahusu sifa za wagombea katika uchaguzi wa Ubunge. Sehemu ya Pili inahusu uteuzi wa wagombea Ubunge ambapo inaainisha siku ya uteuzi, uteuzi wa wagombea, utaratibu wa namna ya kuweka dhamana kwa mgombea wa nafasi ya ubunge, masharti ya mgombea kuteuliwa kwa jimbo moja tu, pingamizi na uamuzi juu ya uhalali wa fomu ya uteuzi

Sura hii pia inaainisha utaratibu wa kufuatwa endapo kuna mgombea mmoja tu halali wa nafasi ya ubunge au endapo hakuna mgombea. Kwa mujibu wa Sehemu hii endapo kutakuwa na mgombea mmoja halali wa nafasi ya Ubunge ameteuliwa, mgombea huyo atapaswa kupigiwa kura na atatangazwa kuwa amechaguliwa endapo atapata kura nyingi za ndiyo kati ya kura zote halali zilizopigwa

Maoni: Hili ni jambo jema, zuri na lenye maslahi kwa taifa kwa kurejesha mamlaka kwa wananchi, sasa hakuna tena ushindi wa mtu kupita bila kupingwa!. Kupita bila kupingwa kulifanya chama kuwachagulia wananchi kiongozi. Hii itaondoa zile figusu za kuzuia watu wasigombee, kuwanunua wapinzani na kuzuia fomu zisirejeshwe na mtu kutangazwa mshindi wa kupita bila kupingwa!. CCM ina wabunge 18 ambao wamepita bila kupingwa!.

Sura ya Tano ya Muswada inahusu masharti ya uchaguzi wa Madiwani. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Tatu, ambapo Sehemu ya Kwanza inabainisha masharti ya uendeshaji wa uchaguzi wa madiwani, muda wa kuwa madarakani kwa Madiwani, namna na wakati wa kuitisha uchaguzi mdogo na uwakilishi katika Kata. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu sifa za mgombea na mazingira ya mtu kukosa sifa ya kuteuliwa katika uchaguzi. Sehemu ya Tatu inajumuisha masharti kuhusu siku ya uteuzi, uteuzi wa mgombea, dhamana za wagombea, utaratibu wa kuweka pingamizi na utaratibu unaopaswa kufuatwa ikiwa kuna mgombea mmoja tu wa nafasi ya udiwani au ikiwa hakuna mgombea.

Sura ya Sita ya Muswada inaweka masharti kuhusu uchaguzi, utaratibu wakupiga kura na uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Sita, ambapo Sehemu ya Kwanza inaweka masharti mbalimbali kuhusu siku ya uchaguzi na tangazo la uchaguzi. Kwa mujibu wa masharti hayo, taarifa ambazo zitakuwa katika tangazo la uchaguzi ni pamoja na siku na muda wa kuanza na kufunga upigaji kura, anwani ya vituo vya kupigia kura, wapiga kura waliopangwa kwa kila kituo cha kupigia kura na taarifa za wagombea walio teuliwa kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu mgombea kujitoa na utaratibu unaopaswa kufuatwa endapo mgombea atafariki au hakuna mgombea. Sehemu ya Tatu inaweka masharti kuhusu kampeni za uchaguzi na namna kampeni zinavyopaswa kuendeshwa, ikiwa ni pamoja na masharti kuhusu kuwasilisha ratiba ya mikutano kwa msimamizi wa uchaguzi kwa lengo la kuepuka migongano ya mikutano. Sehemu hii inaweka pia masharti kuhusu upatikanaji na wajibu wa vyombo vya habari vya umma na matakwa ya kutokuwa naupendeleo na kuepuka ubaguzi kwa mgombea yeyote katika utoaji wa matangazo.
Maoni: Hapa bado kuna tatizo, mgombea mmoja ana ving’ora, ana media team ya serikali, ana PA ya serikali, ana magari ya serikali na watendakazi wa serikali!. Nchi za wenzetu, rais aliye madarakani anapongombea tena, anakuwa scrapped off all presidential privileges isipokuwa ulinzi na wale wagombea wengine wote wa urais wanapatiwa ulinzi na basic logistical support kama ni ving'ora, wote ni ving'ora na sio utaratibu wetu wa mgombea mmoja mwenye dola ameshika mpini kugombea kisu cha makali kuwili na wagombea makapuku!, unategemea ushindani wa haki?.

Sehemu ya Nne ya Sura hii inaainisha utaratibu wa uchaguzi unaojumuisha masharti kuhusu siku na muda wa kupiga kura, mawakala wa upigaji kura, masanduku ya kura, muundo wa karatasi za kura na katazo la kuweka wazi kura.

Sehemu ya Tano inaweka masharti kuhusu utaratibu wa kupiga na kuhesabu kura. Masharti hayo yanajumuisha watu wanaostahili kupiga kura, mazingira yanayoweza kumfanya mtu kupotezasifa za kupiga kura, utaratibu wa kupiga kura, watu wanao ruhusiwa kuingia katika kituo cha kupigia kura, mazingira yanayoweza kusababisha kuahirishwa kwa upigaji kura inapotokea vurugu, kufungwa kwa zoezi la upigaji kura na utaratibu wa kuhesabu kura. Kwa mujibu wa masharti ya Sehemu hii, mawakala wa upigaji kura wanatambuliwa kuwa mawakala wa kuhesabu kura. Vilevile Sehemu hii inaainisha wajibu wa msimamiziwa kituo baada ya kuhesabu kura, utaratibu wa kujumuisha kura katika uchaguzi wa wabunge na madiwani na utaratibu wa kutangaza matokeo ya ubunge na udiwani. Sehemu ya Sita ya Sura hii inaweka masharti kuhusu uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum na unatambua utaratibu ulioainishwa katika Katiba na Sheria za Serikali za Mitaa kuhusu wabunge na madiwani wanawake viti maalum.
Itaendelea wiki ijayo.
Wasalaam
Paskali
 
Mimi bado sijafurahishwa, kura za ndio na hapana, bado ni kizungumkuti. Watu watapiga ndio tu hata kama hawataki.

Hivi haiwezekani kabisa kama hajatokea mtu kuahirishwa uchaguzi wa sehemu husika mpaka mtu apatikane.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko mwendelezo wa three series za uchambuzi wangu wa sheria mpya ya Uchaguzi, 2023. Kama hukuona 1st series, anzia hapa Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1 kisha uje hapa
Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1
Kisha Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.
Pia unaweza kupita hapa Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!. na hapa Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Binadamu tuna mtindo wa kuangazia mapungufu zaidi na kujikuta tunakuwa blinded na mapungufu hivyo kutoona mazuri, hata kwenye Biblia ukitaja tuu jina la Yuda, mind za wengi zinakwenda kwa usaliti wa Yuda Iskariote, kumbe kwenye watumishi wa Yesu, kulikuwa na Yuda wawili, Yuda Iskariote msaliti na Yuda Tadei mtu mwema. Jina la Yuda limeghubikwa na usaliti hadi wema wa Yuda Tadei kufunikwa na usaliti wa Yuda Iskariote.

Ndivyo ilivyo hii sheria mpya ya uchaguzi, kufuatia sheria hii kuletwa na ubatili ule ule tunaoupigia kelele kila uchao, tunajikuta tunakuwa too blind to see mema na mazuri ya muswada huu
Hivyo leo naendelea na uchambuzi wangu wa kifungu hadi kifungu huku nikiainisha the good, the bad and the ugly.
Karibu.
View attachment 2831115
Leo naendelea na uchambuzi wangu wa muswada huu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023, kwa mukhtaasari wa sura zote 10 za sheria hii, kuwaelimisha elimu ya uraia na elimu ya sheria na haki ili Watanzania tuitumie kikamilifu hii miezi 3 ya kutoa maoni na mapendekezo ya maboresho ya sheria hii.
Muswada huu unatunga Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani ya mwaka, 2023. Kwa ujumla, Sheria hii inaunganisha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292. Hivyo sasa masharti ya uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani ni sheria moja na kutekelezwa na mamlaka moja ambayo ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hapa ninapendekeza chaguzi zote nchini, uchaguzi wa Rais na Wabunge, Madiwani na Serikali za Mitaa, ufanyike siku moja na kusimamiwa na Tume moja Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hili ni jambo jema!.
Wiki iliyopita nilichambua sura ya kwanza mpaka ya tatu, leo naendelea

Sura ya Nne ya Muswada inaweka masharti yanayosimamia uchaguzi wa Wabunge na imegawanyika katika sehemu mbili, sehemu ya kwanza inahusu sifa za wagombea katika uchaguzi wa Ubunge. Sehemu ya Pili inahusu uteuzi wa wagombea Ubunge ambapo inaainisha siku ya uteuzi, uteuzi wa wagombea, utaratibu wa namna ya kuweka dhamana kwa mgombea wa nafasi ya ubunge, masharti ya mgombea kuteuliwa kwa jimbo moja tu, pingamizi na uamuzi juu ya uhalali wa fomu ya uteuzi

Sura hii pia inaainisha utaratibu wa kufuatwa endapo kuna mgombea mmoja tu halali wa nafasi ya ubunge au endapo hakuna mgombea. Kwa mujibu wa Sehemu hii endapo kutakuwa na mgombea mmoja halali wa nafasi ya Ubunge ameteuliwa, mgombea huyo atapaswa kupigiwa kura na atatangazwa kuwa amechaguliwa endapo atapata kura nyingi za ndiyo kati ya kura zote halali zilizopigwa

Maoni: Hili ni jambo jema, zuri na lenye maslahi kwa taifa kwa kurejesha mamlaka kwa wananchi, sasa hakuna tena ushindi wa mtu kupita bila kupingwa!. Kupita bila kupingwa kulifanya chama kuwachagulia wananchi kiongozi. Hii itaondoa zile figusu za kuzuia watu wasigombee, kuwanunua wapinzani na kuzuia fomu zisirejeshwe na mtu kutangazwa mshindi wa kupita bila kupingwa!. CCM ina wabunge 18 ambao wamepita bila kupingwa!.

Sura ya Tano ya Muswada inahusu masharti ya uchaguzi wa Madiwani. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Tatu, ambapo Sehemu ya Kwanza inabainisha masharti ya uendeshaji wa uchaguzi wa madiwani, muda wa kuwa madarakani kwa Madiwani, namna na wakati wa kuitisha uchaguzi mdogo na uwakilishi katika Kata. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu sifa za mgombea na mazingira ya mtu kukosa sifa ya kuteuliwa katika uchaguzi. Sehemu ya Tatu inajumuisha masharti kuhusu siku ya uteuzi, uteuzi wa mgombea, dhamana za wagombea, utaratibu wa kuweka pingamizi na utaratibu unaopaswa kufuatwa ikiwa kuna mgombea mmoja tu wa nafasi ya udiwani au ikiwa hakuna mgombea.

Sura ya Sita ya Muswada inaweka masharti kuhusu uchaguzi, utaratibu wakupiga kura na uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Sita, ambapo Sehemu ya Kwanza inaweka masharti mbalimbali kuhusu siku ya uchaguzi na tangazo la uchaguzi. Kwa mujibu wa masharti hayo, taarifa ambazo zitakuwa katika tangazo la uchaguzi ni pamoja na siku na muda wa kuanza na kufunga upigaji kura, anwani ya vituo vya kupigia kura, wapiga kura waliopangwa kwa kila kituo cha kupigia kura na taarifa za wagombea walio teuliwa kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu mgombea kujitoa na utaratibu unaopaswa kufuatwa endapo mgombea atafariki au hakuna mgombea. Sehemu ya Tatu inaweka masharti kuhusu kampeni za uchaguzi na namna kampeni zinavyopaswa kuendeshwa, ikiwa ni pamoja na masharti kuhusu kuwasilisha ratiba ya mikutano kwa msimamizi wa uchaguzi kwa lengo la kuepuka migongano ya mikutano. Sehemu hii inaweka pia masharti kuhusu upatikanaji na wajibu wa vyombo vya habari vya umma na matakwa ya kutokuwa naupendeleo na kuepuka ubaguzi kwa mgombea yeyote katika utoaji wa matangazo.
Maoni: Hapa bado kuna tatizo, mgombea mmoja ana ving’ora, ana media team ya serikali, ana PA ya serikali, ana magari ya serikali na watendakazi wa serikali!. Nchi za wenzetu, rais aliye madarakani anapongombea tena, anakuwa scrapped off all presidential privileges isipokuwa ulinzi na wale wagombea wengine wote wa urais wanapatiwa ulinzi na basic logistical support kama ni ving'ora, wote ni ving'ora na sio utaratibu wetu wa mgombea mmoja mwenye dola ameshika mpini kugombea kisu cha makali kuwili na wagombea makapuku!, unategemea ushindani wa haki?.

Sehemu ya Nne ya Sura hii inaainisha utaratibu wa uchaguzi unaojumuisha masharti kuhusu siku na muda wa kupiga kura, mawakala wa upigaji kura, masanduku ya kura, muundo wa karatasi za kura na katazo la kuweka wazi kura.

Sehemu ya Tano inaweka masharti kuhusu utaratibu wa kupiga na kuhesabu kura. Masharti hayo yanajumuisha watu wanaostahili kupiga kura, mazingira yanayoweza kumfanya mtu kupotezasifa za kupiga kura, utaratibu wa kupiga kura, watu wanao ruhusiwa kuingia katika kituo cha kupigia kura, mazingira yanayoweza kusababisha kuahirishwa kwa upigaji kura inapotokea vurugu, kufungwa kwa zoezi la upigaji kura na utaratibu wa kuhesabu kura. Kwa mujibu wa masharti ya Sehemu hii, mawakala wa upigaji kura wanatambuliwa kuwa mawakala wa kuhesabu kura. Vilevile Sehemu hii inaainisha wajibu wa msimamiziwa kituo baada ya kuhesabu kura, utaratibu wa kujumuisha kura katika uchaguzi wa wabunge na madiwani na utaratibu wa kutangaza matokeo ya ubunge na udiwani. Sehemu ya Sita ya Sura hii inaweka masharti kuhusu uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum na unatambua utaratibu ulioainishwa katika Katiba na Sheria za Serikali za Mitaa kuhusu wabunge na madiwani wanawake viti maalum.
Itaendelea wiki ijayo.
Wasalaam
Paskali
Mkyy Paskali
Ama niseme kuwa siyo kwamba mapendekezo yote yana kasoro. Bali kuna vipengele ndani ya muswada vina matatizo makubwa.

Sasa unachotushawishi ni kuwa; kwa sababu yapo mazuri ndani ya Muswada huu basi tufunike kombe upite bila maboresho muhimu?

Vipengele ulivyovitaja umevidadavua ingawa jukumu hilo ni la mahakama but umelibeba hapa. Je vipengele hivyo vinashindaniwa na wakosoaji wake?
 
Kama ni ndio au hapana, katika kuhisabia kura nani atasimamia ? Kama wakala ni wa mgombea na msimamizi pekee then ni yale yale. Ni mental backflip imetumika
 
Tatizo ni Implementation; hata mambo yakiwa mazuri kiasi gani kama implementation ni wizi na ujambazi bado itakuwa ni muendelezo wa Maigizo; Cha maana / afadhali ni gharama ya maigizo hayo...

Like I always say hakuna mwananchi anayechagua kiongozi ni watu wachache (those who nominate are the one's who chooses) na hii ni kwa almost all current Democrasies (even AMERICA)

Anyway its a necessary illusion which keep the peace (kwahio sio mbaya tukiendelea ku-bankroll haya Maigizo)
 
Kwa nchi ya Tanzania, ambayo imejaa mambo ya hovyo kwenye maadili ya uchaguzi na utawala, ni vema tusiwe na wagombea wa kupita bila kupingwa wala mgombea mmoja wa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana.

Mahali popote ambapo kutakuwa na mgombea mmoja tu aliyepitishwa na tume, chama/vyama ambavyo mgombea/wagombea wake wameondolewa na tume kwa kutokukidhi vigezo wapewe siku 7 za ama kuleta wagombea wapya, au wagombea walioenguliwa kurekebisha makosa yaliyotajwa, kama sababu zilizotajwa zinarekebishika.

Lazima tuondokane na ule upumbavu wa kumwondoa mtu kwa sababu za kijinga kuwa eti amekosea kujaza fomu. Kama amekosea kujaza fomu (ingawa huwa ni uwongo) apewe siku moja kurekebisha hayo makosa ya ujazaji wa fomu.

Sheria ile inayosema kuwa eti tume ya uchaguzi isishtakiwe ifutwe. Badala yake kuwepo sheria ya kifungo hadi cha miaka mitano kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao matendo yao yalilenga kuharibu mfumo wa demokrasia kufanya kazi, kama vile msimamizi wa uchaguzi kukataa kupokea fomu ya mgombea, msimamizi wa uchaguzi kufunga na kuikimbia ofisi yake muda aliostahili kuwepo ofisini, kumtangaza mgombea ambaye hakuna uthibitisho wa kupata kura nyingi kuwazidi wagombea wengine, na mengine yanayofanana na hayo. Makosa yote ya wasimamizi wa uchaguzi yaliyolenga kuzuia demomrasia kufanya kazi, wahusika adhabu yao iwe kifungo jela, bila option ya kulipa faini.
 
Kwa nchi ya Tanzania, ambayo imejaa mambo ya hovyo kwenye maadili ya uchaguzi na utawala, ni vema tusiwe na wagombea wa kupita bila kupingwa wala mgombea mmoja wa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana.

Mahali popote ambapo kutakuwa na mgombea mmoja tu aliyepitishwa na tume, chama/vyama ambavyo mgombea/wagombea wake wameondolewa na tume kwa kutokukidhi vigezo wapewe siku 7 za ama kuleta wagombea wapya, au wagombea walioenguliwa kurekebisha makosa yaliyotajwa, kama sababu zilizotajwa zinarekebishika.

Lazima tuondokane na ule upumbavu wa kumwondoa mtu kwa sababu za kijinga kuwa eti amekosea kujaza fomu. Kama amekosea kujaza fomu (ingawa huwa ni uwongo) apewe siku moja kurekebisha hayo makosa ya ujazaji wa fomu.

Sheria ile inayosema kuwa eti tume ya uchaguzi isishtakiwe ifutwe. Badala yake kuwepo sheria ya kifungo hadi cha miaka mitano kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao matendo yao yalilenga kuharibu mfumo wa demokrasia kufanya kazi, kama vile msimamizi wa uchaguzi kukataa kupokea fomu ya mgombea, msimamizi wa uchaguzi kufunga na kuikimbia ofisi yake muda aliostahili kuwepo ofisini, kumtangaza mgombea ambaye hakuna uthibitisho wa kupata kura nyingi kuwazidi wagombea wengine, na mengine yanayofanana na hayo. Makosa yote ya wasimamizi wa uchaguzi yaliyolenga kuzuia demomrasia kufanya kazi, wahusika adhabu yao iwe kifungo jela, bila option ya kulipa faini.
Shida ni kwamba, wengi wakiona haiwasaidii wataibadilisha tena na kwa kutumia wingi wao hakuna linaloshindikana.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko mwendelezo wa three series za uchambuzi wangu wa sheria mpya ya Uchaguzi, 2023. Kama hukuona 1st series, anzia hapa Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1 kisha uje hapa
Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1
Kisha Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.
Pia unaweza kupita hapa Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!. na hapa Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Binadamu tuna mtindo wa kuangazia mapungufu zaidi na kujikuta tunakuwa blinded na mapungufu hivyo kutoona mazuri, hata kwenye Biblia ukitaja tuu jina la Yuda, mind za wengi zinakwenda kwa usaliti wa Yuda Iskariote, kumbe kwenye watumishi wa Yesu, kulikuwa na Yuda wawili, Yuda Iskariote msaliti na Yuda Tadei mtu mwema. Jina la Yuda limeghubikwa na usaliti hadi wema wa Yuda Tadei kufunikwa na usaliti wa Yuda Iskariote.

Ndivyo ilivyo hii sheria mpya ya uchaguzi, kufuatia sheria hii kuletwa na ubatili ule ule tunaoupigia kelele kila uchao, tunajikuta tunakuwa too blind to see mema na mazuri ya muswada huu
Hivyo leo naendelea na uchambuzi wangu wa kifungu hadi kifungu huku nikiainisha the good, the bad and the ugly.
Karibu.
View attachment 2831115
Leo naendelea na uchambuzi wangu wa muswada huu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023, kwa mukhtaasari wa sura zote 10 za sheria hii, kuwaelimisha elimu ya uraia na elimu ya sheria na haki ili Watanzania tuitumie kikamilifu hii miezi 3 ya kutoa maoni na mapendekezo ya maboresho ya sheria hii.
Muswada huu unatunga Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani ya mwaka, 2023. Kwa ujumla, Sheria hii inaunganisha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292. Hivyo sasa masharti ya uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani ni sheria moja na kutekelezwa na mamlaka moja ambayo ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hapa ninapendekeza chaguzi zote nchini, uchaguzi wa Rais na Wabunge, Madiwani na Serikali za Mitaa, ufanyike siku moja na kusimamiwa na Tume moja Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hili ni jambo jema!.
Wiki iliyopita nilichambua sura ya kwanza mpaka ya tatu, leo naendelea

Sura ya Nne ya Muswada inaweka masharti yanayosimamia uchaguzi wa Wabunge na imegawanyika katika sehemu mbili, sehemu ya kwanza inahusu sifa za wagombea katika uchaguzi wa Ubunge. Sehemu ya Pili inahusu uteuzi wa wagombea Ubunge ambapo inaainisha siku ya uteuzi, uteuzi wa wagombea, utaratibu wa namna ya kuweka dhamana kwa mgombea wa nafasi ya ubunge, masharti ya mgombea kuteuliwa kwa jimbo moja tu, pingamizi na uamuzi juu ya uhalali wa fomu ya uteuzi

Sura hii pia inaainisha utaratibu wa kufuatwa endapo kuna mgombea mmoja tu halali wa nafasi ya ubunge au endapo hakuna mgombea. Kwa mujibu wa Sehemu hii endapo kutakuwa na mgombea mmoja halali wa nafasi ya Ubunge ameteuliwa, mgombea huyo atapaswa kupigiwa kura na atatangazwa kuwa amechaguliwa endapo atapata kura nyingi za ndiyo kati ya kura zote halali zilizopigwa

Maoni: Hili ni jambo jema, zuri na lenye maslahi kwa taifa kwa kurejesha mamlaka kwa wananchi, sasa hakuna tena ushindi wa mtu kupita bila kupingwa!. Kupita bila kupingwa kulifanya chama kuwachagulia wananchi kiongozi. Hii itaondoa zile figusu za kuzuia watu wasigombee, kuwanunua wapinzani na kuzuia fomu zisirejeshwe na mtu kutangazwa mshindi wa kupita bila kupingwa!. CCM ina wabunge 18 ambao wamepita bila kupingwa!.

Sura ya Tano ya Muswada inahusu masharti ya uchaguzi wa Madiwani. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Tatu, ambapo Sehemu ya Kwanza inabainisha masharti ya uendeshaji wa uchaguzi wa madiwani, muda wa kuwa madarakani kwa Madiwani, namna na wakati wa kuitisha uchaguzi mdogo na uwakilishi katika Kata. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu sifa za mgombea na mazingira ya mtu kukosa sifa ya kuteuliwa katika uchaguzi. Sehemu ya Tatu inajumuisha masharti kuhusu siku ya uteuzi, uteuzi wa mgombea, dhamana za wagombea, utaratibu wa kuweka pingamizi na utaratibu unaopaswa kufuatwa ikiwa kuna mgombea mmoja tu wa nafasi ya udiwani au ikiwa hakuna mgombea.

Sura ya Sita ya Muswada inaweka masharti kuhusu uchaguzi, utaratibu wakupiga kura na uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Sita, ambapo Sehemu ya Kwanza inaweka masharti mbalimbali kuhusu siku ya uchaguzi na tangazo la uchaguzi. Kwa mujibu wa masharti hayo, taarifa ambazo zitakuwa katika tangazo la uchaguzi ni pamoja na siku na muda wa kuanza na kufunga upigaji kura, anwani ya vituo vya kupigia kura, wapiga kura waliopangwa kwa kila kituo cha kupigia kura na taarifa za wagombea walio teuliwa kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu mgombea kujitoa na utaratibu unaopaswa kufuatwa endapo mgombea atafariki au hakuna mgombea. Sehemu ya Tatu inaweka masharti kuhusu kampeni za uchaguzi na namna kampeni zinavyopaswa kuendeshwa, ikiwa ni pamoja na masharti kuhusu kuwasilisha ratiba ya mikutano kwa msimamizi wa uchaguzi kwa lengo la kuepuka migongano ya mikutano. Sehemu hii inaweka pia masharti kuhusu upatikanaji na wajibu wa vyombo vya habari vya umma na matakwa ya kutokuwa naupendeleo na kuepuka ubaguzi kwa mgombea yeyote katika utoaji wa matangazo.
Maoni: Hapa bado kuna tatizo, mgombea mmoja ana ving’ora, ana media team ya serikali, ana PA ya serikali, ana magari ya serikali na watendakazi wa serikali!. Nchi za wenzetu, rais aliye madarakani anapongombea tena, anakuwa scrapped off all presidential privileges isipokuwa ulinzi na wale wagombea wengine wote wa urais wanapatiwa ulinzi na basic logistical support kama ni ving'ora, wote ni ving'ora na sio utaratibu wetu wa mgombea mmoja mwenye dola ameshika mpini kugombea kisu cha makali kuwili na wagombea makapuku!, unategemea ushindani wa haki?.

Sehemu ya Nne ya Sura hii inaainisha utaratibu wa uchaguzi unaojumuisha masharti kuhusu siku na muda wa kupiga kura, mawakala wa upigaji kura, masanduku ya kura, muundo wa karatasi za kura na katazo la kuweka wazi kura.

Sehemu ya Tano inaweka masharti kuhusu utaratibu wa kupiga na kuhesabu kura. Masharti hayo yanajumuisha watu wanaostahili kupiga kura, mazingira yanayoweza kumfanya mtu kupotezasifa za kupiga kura, utaratibu wa kupiga kura, watu wanao ruhusiwa kuingia katika kituo cha kupigia kura, mazingira yanayoweza kusababisha kuahirishwa kwa upigaji kura inapotokea vurugu, kufungwa kwa zoezi la upigaji kura na utaratibu wa kuhesabu kura. Kwa mujibu wa masharti ya Sehemu hii, mawakala wa upigaji kura wanatambuliwa kuwa mawakala wa kuhesabu kura. Vilevile Sehemu hii inaainisha wajibu wa msimamiziwa kituo baada ya kuhesabu kura, utaratibu wa kujumuisha kura katika uchaguzi wa wabunge na madiwani na utaratibu wa kutangaza matokeo ya ubunge na udiwani. Sehemu ya Sita ya Sura hii inaweka masharti kuhusu uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum na unatambua utaratibu ulioainishwa katika Katiba na Sheria za Serikali za Mitaa kuhusu wabunge na madiwani wanawake viti maalum.
Itaendelea wiki ijayo.
Wasalaam
Paskali
Kama bado mwenyekiti wa ccm ndio anayechagua tume ya uchaguzi, hizo Sheria nyingine ni make up tu. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura.
 
Mimi bado sijafurahishwa, kura za ndio na hapana, bado ni kizungumkuti. Watu watapiga ndio tu hata kama hawataki.

Hivi haiwezekani kabisa kama hajatokea mtu kuahirishwa uchaguzi wa sehemu husika mpaka mtu apatikane.
Hata mm suara la mgombea mmoja Bado Nina mashaka nalo.
Yaan kura zipigwe za ndio au hapana wakati hakuna mawakala wa vyama vingine vya siasa unafikili Kuna uhalali hapo?
 
Bila kupingwa

Ule utaratibu ulikuwa ni wa kishetani sana

Hata Nyerere hakuwahi Kupita bila kupingwa 😂
Pascal sijui kichwa chako kikoje? bado unatafuta wapi wakuone wakupe uteuzi? This is one aspect among a million! How come you praise such a silly single rubbish!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko mwendelezo wa three series za uchambuzi wangu wa sheria mpya ya Uchaguzi, 2023. Kama hukuona 1st series, anzia hapa Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1 kisha uje hapa
Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1
Kisha Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.
Pia unaweza kupita hapa Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!. na hapa Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Binadamu tuna mtindo wa kuangazia mapungufu zaidi na kujikuta tunakuwa blinded na mapungufu hivyo kutoona mazuri, hata kwenye Biblia ukitaja tuu jina la Yuda, mind za wengi zinakwenda kwa usaliti wa Yuda Iskariote, kumbe kwenye watumishi wa Yesu, kulikuwa na Yuda wawili, Yuda Iskariote msaliti na Yuda Tadei mtu mwema. Jina la Yuda limeghubikwa na usaliti hadi wema wa Yuda Tadei kufunikwa na usaliti wa Yuda Iskariote.

Ndivyo ilivyo hii sheria mpya ya uchaguzi, kufuatia sheria hii kuletwa na ubatili ule ule tunaoupigia kelele kila uchao, tunajikuta tunakuwa too blind to see mema na mazuri ya muswada huu
Hivyo leo naendelea na uchambuzi wangu wa kifungu hadi kifungu huku nikiainisha the good, the bad and the ugly.
Karibu.
View attachment 2831115
Leo naendelea na uchambuzi wangu wa muswada huu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023, kwa mukhtaasari wa sura zote 10 za sheria hii, kuwaelimisha elimu ya uraia na elimu ya sheria na haki ili Watanzania tuitumie kikamilifu hii miezi 3 ya kutoa maoni na mapendekezo ya maboresho ya sheria hii.
Muswada huu unatunga Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani ya mwaka, 2023. Kwa ujumla, Sheria hii inaunganisha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292. Hivyo sasa masharti ya uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani ni sheria moja na kutekelezwa na mamlaka moja ambayo ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hapa ninapendekeza chaguzi zote nchini, uchaguzi wa Rais na Wabunge, Madiwani na Serikali za Mitaa, ufanyike siku moja na kusimamiwa na Tume moja Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Hili ni jambo jema!.
Wiki iliyopita nilichambua sura ya kwanza mpaka ya tatu, leo naendelea

Sura ya Nne ya Muswada inaweka masharti yanayosimamia uchaguzi wa Wabunge na imegawanyika katika sehemu mbili, sehemu ya kwanza inahusu sifa za wagombea katika uchaguzi wa Ubunge. Sehemu ya Pili inahusu uteuzi wa wagombea Ubunge ambapo inaainisha siku ya uteuzi, uteuzi wa wagombea, utaratibu wa namna ya kuweka dhamana kwa mgombea wa nafasi ya ubunge, masharti ya mgombea kuteuliwa kwa jimbo moja tu, pingamizi na uamuzi juu ya uhalali wa fomu ya uteuzi

Sura hii pia inaainisha utaratibu wa kufuatwa endapo kuna mgombea mmoja tu halali wa nafasi ya ubunge au endapo hakuna mgombea. Kwa mujibu wa Sehemu hii endapo kutakuwa na mgombea mmoja halali wa nafasi ya Ubunge ameteuliwa, mgombea huyo atapaswa kupigiwa kura na atatangazwa kuwa amechaguliwa endapo atapata kura nyingi za ndiyo kati ya kura zote halali zilizopigwa

Maoni: Hili ni jambo jema, zuri na lenye maslahi kwa taifa kwa kurejesha mamlaka kwa wananchi, sasa hakuna tena ushindi wa mtu kupita bila kupingwa!. Kupita bila kupingwa kulifanya chama kuwachagulia wananchi kiongozi. Hii itaondoa zile figusu za kuzuia watu wasigombee, kuwanunua wapinzani na kuzuia fomu zisirejeshwe na mtu kutangazwa mshindi wa kupita bila kupingwa!. CCM ina wabunge 18 ambao wamepita bila kupingwa!.

Sura ya Tano ya Muswada inahusu masharti ya uchaguzi wa Madiwani. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Tatu, ambapo Sehemu ya Kwanza inabainisha masharti ya uendeshaji wa uchaguzi wa madiwani, muda wa kuwa madarakani kwa Madiwani, namna na wakati wa kuitisha uchaguzi mdogo na uwakilishi katika Kata. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu sifa za mgombea na mazingira ya mtu kukosa sifa ya kuteuliwa katika uchaguzi. Sehemu ya Tatu inajumuisha masharti kuhusu siku ya uteuzi, uteuzi wa mgombea, dhamana za wagombea, utaratibu wa kuweka pingamizi na utaratibu unaopaswa kufuatwa ikiwa kuna mgombea mmoja tu wa nafasi ya udiwani au ikiwa hakuna mgombea.

Sura ya Sita ya Muswada inaweka masharti kuhusu uchaguzi, utaratibu wakupiga kura na uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum. Sura hii imegawanyika katika Sehemu Sita, ambapo Sehemu ya Kwanza inaweka masharti mbalimbali kuhusu siku ya uchaguzi na tangazo la uchaguzi. Kwa mujibu wa masharti hayo, taarifa ambazo zitakuwa katika tangazo la uchaguzi ni pamoja na siku na muda wa kuanza na kufunga upigaji kura, anwani ya vituo vya kupigia kura, wapiga kura waliopangwa kwa kila kituo cha kupigia kura na taarifa za wagombea walio teuliwa kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi. Sehemu ya Pili inaweka masharti kuhusu mgombea kujitoa na utaratibu unaopaswa kufuatwa endapo mgombea atafariki au hakuna mgombea. Sehemu ya Tatu inaweka masharti kuhusu kampeni za uchaguzi na namna kampeni zinavyopaswa kuendeshwa, ikiwa ni pamoja na masharti kuhusu kuwasilisha ratiba ya mikutano kwa msimamizi wa uchaguzi kwa lengo la kuepuka migongano ya mikutano. Sehemu hii inaweka pia masharti kuhusu upatikanaji na wajibu wa vyombo vya habari vya umma na matakwa ya kutokuwa naupendeleo na kuepuka ubaguzi kwa mgombea yeyote katika utoaji wa matangazo.
Maoni: Hapa bado kuna tatizo, mgombea mmoja ana ving’ora, ana media team ya serikali, ana PA ya serikali, ana magari ya serikali na watendakazi wa serikali!. Nchi za wenzetu, rais aliye madarakani anapongombea tena, anakuwa scrapped off all presidential privileges isipokuwa ulinzi na wale wagombea wengine wote wa urais wanapatiwa ulinzi na basic logistical support kama ni ving'ora, wote ni ving'ora na sio utaratibu wetu wa mgombea mmoja mwenye dola ameshika mpini kugombea kisu cha makali kuwili na wagombea makapuku!, unategemea ushindani wa haki?.

Sehemu ya Nne ya Sura hii inaainisha utaratibu wa uchaguzi unaojumuisha masharti kuhusu siku na muda wa kupiga kura, mawakala wa upigaji kura, masanduku ya kura, muundo wa karatasi za kura na katazo la kuweka wazi kura.

Sehemu ya Tano inaweka masharti kuhusu utaratibu wa kupiga na kuhesabu kura. Masharti hayo yanajumuisha watu wanaostahili kupiga kura, mazingira yanayoweza kumfanya mtu kupotezasifa za kupiga kura, utaratibu wa kupiga kura, watu wanao ruhusiwa kuingia katika kituo cha kupigia kura, mazingira yanayoweza kusababisha kuahirishwa kwa upigaji kura inapotokea vurugu, kufungwa kwa zoezi la upigaji kura na utaratibu wa kuhesabu kura. Kwa mujibu wa masharti ya Sehemu hii, mawakala wa upigaji kura wanatambuliwa kuwa mawakala wa kuhesabu kura. Vilevile Sehemu hii inaainisha wajibu wa msimamiziwa kituo baada ya kuhesabu kura, utaratibu wa kujumuisha kura katika uchaguzi wa wabunge na madiwani na utaratibu wa kutangaza matokeo ya ubunge na udiwani. Sehemu ya Sita ya Sura hii inaweka masharti kuhusu uteuzi wa wabunge na madiwani wanawake viti maalum na unatambua utaratibu ulioainishwa katika Katiba na Sheria za Serikali za Mitaa kuhusu wabunge na madiwani wanawake viti maalum.
Itaendelea wiki ijayo.
Wasalaam
Paskali
"Mtoto wa Nyoka ni Nyoka."

Hakuna Sheria yoyote ktk nchi hii ya Tz inaweza kuwa nzuri ikiwa Sheria Mama (KATIBA) iliyopo ni MBAYA.
Kumbuka:- Sheria yoyote ile ya nchi inayopingana na Katiba ya nchi husika, sheria hiyo inakuwa BATILI.
 
Maoni: Hapa bado kuna tatizo, mgombea mmoja ana ving’ora, ana media team ya serikali, ana PA ya serikali, ana magari ya serikali na watendakazi wa serikali!. Nchi za wenzetu, rais aliye madarakani anapongombea tena, anakuwa scrapped off all presidential privileges isipokuwa ulinzi na wale wagombea wengine wote wa urais wanapatiwa ulinzi na basic logistical support kama ni ving'ora, wote ni ving'ora na sio utaratibu wetu wa mgombea mmoja mwenye dola ameshika mpini kugombea kisu cha makali kuwili na wagombea makapuku!, unategemea ushindani wa haki?.
Hapa umenena vyema na hiki ndio kichaka Cha akina Tulia Ackson kujidai kuwa CCM wanamiliki Dola
 
Back
Top Bottom