The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Happy birthday JKilaza. Hivi u kijana wa miaka mingapi vile?
Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration
Ombi langu kwako Jk,
BABU SEA NA MWANAE
WAACHIE TU, HATA KAMA WALIKUMEGEA DEMU WAKO.
Hapo nitakufurahia sana, unamtesa bure jamani!
Amwachie Nguza Viking na wanae pia namwombea awepo hadi 2015 ashuhudie CDM wanavyoiweka nchi kwenye mstari wa heshima na ustawi wa jamii.
Natamani hii siku isingekuwapo