Leo Oktoba 07 ni siku ya kuzaliwa kwa Mhe. Rais Kikwete, chukua fursa hii kumwambia lolote

Mh JK happy birthday! Wasamehe Madaktari na warudishie registration zao Please

Mh ukisikiliza hayo naomba pia kwa kipindi ulichobakiza uwe MKALI KIMATENDO-kuna uppuzi mwingi kiutendaji katika serikali yako unaotuumiza sisi wananchi! Kwa kuweza kuonesha kwa vitendo ushughulikiaji wa waharibifu, itakuwa KIZUISHI kwa wanaofikiria kujaribu kupitia njia hizo za kutuumiza wanachi!

Happy Birthday Mh Rais
 
Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration

Happy birthday Mr. Dr. President, Jakaya Mrisho Kikwete.
1. May the Lord give you more knowledge - refer King Solomon's sermon.
2. Forgive intern doctors please, be a father to them.
3. May the Lord open your eyes and ears so that you can see and hear beyond your normal capacity.
4. May the Lord give you favor in the eyes of your people.
5. Longlive so that you can see your grand-grand children.

Queen Esther
 
Happy birth day J K but next time ukimis kutembelea magari ya kuvutwa na wanyama usitumie pesa za wananchi walipa kodi masikini kupanda ndege kwenda Canada njoo hapa Singida yapo matera meng ya kuutwa na punda naamini utaenyoy!
 
Happy birth day J K but next time ukimis kutembelea magari ya kuvutwa na wanyama usitumie pesa za wananchi walipa kodi masikini kupanda ndege kwenda Canada njoo hapa Singida yapo matera meng ya kuutwa na punda naamini utaenyoy!

ye anataka faras kama alichoki we unaleta habar za punda
 
Huyo Loveness alikosa 'editor' anayeijua hii lugha ya malkia? Na kama alikosa, kwanini asiandike kwa Kiswahili badala ya kubofoa kwa kiasi hicho? Very inapropriate langunge aliyotumia.


Kwenye blue, huyo binti ana mapepo? anataka kumfanyia massage mume wa mtu?

Baada ya hapo nami nitoe salamu zangu kheri ya siku ya kuzaliwa kwa rais wetu. Mungu ampe afay njema na amwongeze vema.


** Alikuwa anaandika huku Macho yake yakiwa YanaMeremeta yakifikiria Madola Mangapi
Atatupiwa pale kwenye Party Branch Washington DC kama Shukrani ya kipekee kwa Unyenyekevu
na Upendo; Tangu lini tuna One of the 4th President of Tanzania so which one is the 2nd ?

Nadhani alishatoa Message; na labda kweli Rais ni Philantropic kwa vifisadi na mafisadi sio
kwa wananchi vijijini wanaohitaji hiyo misaada kama Maji; Mbegu; Barabara...

Kila siku Rais wetu makes a Different; Leo kauza Malighafi kwa FIPA' Kesho Gas kwa nani'?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mheshimwa rais,
Muda uliobaki katika awamu yako ya pili sio mrefu sana ila kuna kinachoweza kufanyika.
Anza ku bulid a strong state ambayo itaweza kuangalia utendaji kazi wa serikali na viongozi wake.
Bila hivyo, tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu.
Tutakuwa na state ambayo inafanya akzi ya kulinda msalai ya serikali na sio ya wananchi.
 
Nakutakia hepi besidei njema. Ushauri wangu Mh JK jiulize je ni wakati gani watanzania wamekulalamikia sana kwa jambo lolote ukiwa kiongozi mkubwa kwenye nchi hii je ulipokua katibu wa ccm, je ulipokuwa naibu waziri,je ulipokua waziri au Sasa ukiwa Rais mtukufu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? ukipata jibu jiulize kwanini? Na nini hasa chanzo cha hayo malalamiko . Mungu akubariki akujaze hekima ujue tatizo lako ni lipi kama Raisi wa Tanzania.
 
Nakutakia hepi besidei njema. Ushauri wangu Mh JK jiulize je ni wakati gani watanzania wamekulalamikia sana kwa jambo lolote ukiwa kiongozi mkubwa kwenye nchi hii je ulipokua katibu wa ccm, je ulipokuwa naibu waziri,je ulipokua waziri au Sasa ukiwa Rais mtukufu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? ukipata jibu jiulize kwanini? Na nini hasa chanzo cha hayo malalamiko . Mungu akubariki akujaze hekima ujue tatizo lako ni lipi kama Raisi wa Tanzania.

Hizi pombe za mama zaituni zingepimwa kabla hamjanywa jamani
 
Tujiulize, birthday ya huyu mtalii inatusaidia nini sisi kama watanzania? Ni yake yeye na hata akisherehekea anakuwa na familia yake na washikaji wake wa karibu sisi hatujumuishi, why do we have to care na why is this even a thread? Anatufanyia nini cha maana zaidi ya mateso?
 
Back
Top Bottom