YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,174
- 36,231
Wewe kweli cute wife.
Je bado wewe ni cute wife??
Ngoja nimuulize anayenimiliki
Wewe kweli cute wife.
Je bado wewe ni cute wife??
Hakuna kuachwa kwa mwanamke makini hizo family matters ni za kawaida.Ila nawakumbusha ndani ya nyumba KUNA kuelekezana na mama NDO kiongozi NDO Mana Mimi Mista wangu kaniachia majukumu yote mpaka ya kuchukua Kodi za nyumba tulizopangisha.Wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa ndio maana wanaoshia kuachwa..hawasikilizi waume
Haaa haaaa lilinikaba kooni nikaona nije kutoa la Rohoni ajabu Sasa watu wamenipiga na kitu kizito kichwani.Kuweni na huruma jamani moyo wangu mdogo.MKE WANGU HAYA MAMBO TUMEJADILI NYUMBANI KAMA FAMILIA, NI KWANINI UMEAMUA KUYALETA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII HUKU?
Swala halipo hivyo.Wala issue sio kubwa.Unajua Mambo madogo madogo kwenye nyumba NDO huleta sintofahamu tusipuuzie.Hapa Mimi nilichoona ni wengi kutoelewa Shana nzima ilivyo.Mimi nilipompa nilimwambia hii ya kutokea na hizi zingine thou nazo NZURI tu za ile unafanya shughuli kumbuka ni Kama maagizo ndani ya nyumba.Zinazoitwa changamoto za ndoa mnazishughulikia vipi ikiwa jambo dogo kama hili limeleta mpasuko ndani ya nyumba?
Ni kweli nguo uliompa ndio ameipenda na zingine kaziona tambara kama wewe ulivyoona ni nguo za kuburuta kwa shughuli za nyumbani.
Hao ndugu zako hukuweza kuwapa hiyo nguo kabla ya kuona kuwa house girl anaiharibu?
Pengine Mr kamwambia avae hiyo badala ya vipande vya matambara ya kanga au nguo za ajabu alizokuwa anavaa ili kuepusha balaa ndani ya nyumba.
Nailed.Heloo, nadhani unasahau kuwa huyo HG anatoka katika familia gani. Hapo alipo ni kama yupo 5 star hotel na anaona ni vyema akawa smart kila wakati.
Usisahau, ukimtuma HG dukani, lazima aingie bafuni kuoga na ajikwatue. Huo ni umri unasumbua na mazingira aliyomo yanamzuzua. Kwa mantiki hiyo ndo maana kila siku anapenda kuivaa hiyo nguo hata akiwa anamenya ndizi zenye utomvu.
Kwa wengine wote, usitoe zawadi kwa mtu yeyote awe mtoto, mpenzi etc zawadi yenye thamani kubwa! Kwa kawaida zawadi huwa ni ile ambayo hata mkiachana au mkakasirikiana hutaitumia kama fimbo. Hata kama ni rafiki, urafiki ukikoma unamwachia na haitakuuma. Ndiyo maana humu tunaambiwa Mchumba hasomeshi. Ukimpa mtu zawadi usiifuatilie! Mfano ukimjengea mwanamke nyumba, hata mkiachana unaondoka bila kinyongo na hata ukikuta njemba imetanua miguu, usiumie. Kama unadhani utaumia acha usimjengee nyumba maana hiyo si zawadi bali CHAMBO.
Hapana Shem hujakosea wala nini, na bila Shaka ushapata mawazo yetu.Maoni yako kwa wema tu Kama nimekosea sawa
Mfano wako na wake haviendani kabisa mkuuNi sawa unisaidie pesa harafu unipangie jinsi ya kutumia, wakati Mimi nataka kuitumia kunywa bia na Malaya wa buku
Waoooh! What a nice advise.Hii sms sikuiona mapema.Sasa wewe NDO umenielewa vizuuuuuri.Unachofanya ni sahihi. Inaonekana huyo dada bado hajajua anapaswa kuvaa nini wakati gani na wapi. Mfundishe.
Hapo napingana na wewe. Unajua kwa jamii zetu zilivyo, mdada wa kazi akionekana yupo rough, lawama na shutuma huwa zinaenda kwa mama, yeye ndo ataonekana anamnyanyasa Binti. Mwonekano mzuri wa dada wa kazi, unareflect jinsi anavyokuwa treated ndani ya hiyo nyumba.Mista yuko sahihi, kwa mtazamo wangu. Umempatia mtu kitu, mwache akitumie kwa kadri anavyotaka yeye.. kumpangia pangia namna ya kukitumia means bado hiyo ni mali yako na yeye umemwazima tu.
Mimi nilimtumia simu dada yangu kijijini baada ya kuniomba sana hata simu used. Mimi nikaenda kumnunulia mpya, ile imefika kijijini tu kaiuza, tena kamuuzia dada mkubwa.Mi nilinunua jeans kali 25000 enzi hizo ikanibana kiuno ikiwa mpya kabisa nikampa ndugu yangu mtoto wa ba mdogo kesho yake akaikata pensi,kidogo nimpe kesi ya kuhujumu uchumi