James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,351
Hakuna mapya hapa ngoja niende nikamsome Galip kule ktk uzi wa Urusi....
Wewe kweli cute wife.Una gubu na unavyoendelea kumsema house girl ndio Mr anazidi kumuonea huruma kwa tabia zako na mwishowe ataanza kumpa pesa ajinunulie mwenyewe na binti atataka kurudisha fadhila na ndipo ndoa yako utaona Chungu!
Chakufanya wewe mpotezee na usiongee tena chochote kuhusu iyo nguo na anza kutafuta binti mwingine kimya kimya uyo kashaweka doa tayari!
Hahaahhaahahaha! Aiseee wewe mdada! Yaani hivihiviJumapili uwe unamruhusu akamwage oil chafu atakuibia mme kwa design hiyo
Kwanini unahisi unamakosa ilihali naona mmeo amekueleza tu kawaida..??? na kwanini umeita mabishano..?? Ulimjibisha mmeo au??Kweli Kama mama nimeshangaa Sana kwa hizo kauli. Je Mimi makosa yangu ni yapi au ni kweli mtoto ndani ya nyumba hupaswi kumshauri
Unamuona tu maana hajui value ya nguo. Kuna watu hawajui thamani ya vitu. Anaweza kitu cha thamani ndogo akaona ndicho kizuri na cha maana.Habari waungwana.
Habari ipo hivi. Nyumbani tuna House gal ambaye Kama kawaida husaidia kazi za Nyumbani pamoja na kulea watoto .Sasa wkt anakuja nikagundua Hana nguo za kutokea kwa maana mfano kutokea tukienda mahali au akiumwa au akienda tembelea ndugu ZAKE weekend.
Nilichofanya nikampa nguo yangu moja NZURI ambayo hata Mimi ni zile za kanisani au kwenda sehemu special na pia nikamuongezea na za kushindia kwa maana za Nyumbani Kama anafanyafanya shughuli ndogo ndogo ,lakini wkt Nampa nilimfafanulia na Tena siku iyo nakumbuka alifurahi Sana na ni siku alikuwa anaenda kusalimia ndugu zake ilibidi avue Ile aliyokuwa ameivaa na kuvaa ile niliyompa akisema anashukuru Sana na ameipenda Sana .
Na alipovaa ni Kama alipimwa ilimpendeza Sana. Baada ya Kama wiki nikagundua Ile nguo ameigeuza ya kushindia na NDO anafanyia usafi.Nikamwita nikamwelekeza kwa Nini asivae zile zingine kwa maana Ile uwe Kama nilivyomuelezea.Akaelewa akaivua na kuifua.
Sasa Leo asubuhi naamka nikamkuta ameivaa anaifagilia nje na hata Jana yake aliivaa anamenyea nduzi(nikiongelea hivyo nduzi Zina utonvu na ni nyeupe) Nikamuuliza mbona umerudia kuifubaisha nguo NZURI na nilikuelezea? Nikamwambia vua ntampa hata ndugu yangu atakayeithamini.
Sasa Baba watoto akasema Kwanza Iyo nguo kumpangia masharti aivae vipi umekosea kwa kuwa wakati unampa hakukuomba ulimpa mwenyewe na kanuni ya kumpa mtu kitu chochote ukishampa umempa matumizi ni juu yake hata angeamua kudekia kufanyaje ni yeye maana imekuwa yake.
Kweli Kama mama nimeshangaa Sana kwa hizo kauli. Je Mimi makosa yangu ni yapi au ni kweli mtoto ndani ya nyumba hupaswi kumshauri(Huyo msichana Ana miaka 18 kwenda 19) Na ikumbukwe ni mista huyo huyo aliyenilalamikia kwamba huyo msichana tangia aje anavaa vinguo vyepesi na khanga tu akijua na yeye yupo kwa maana Kama Ana majaribu na akimfananisha na dada mwingine ambaye aliondoka ambavyo hakuwa na majaribu Kama ya huyu wa Sasa kwa maana kujipitisha Mara kajilaza ovyo Yaani Mambo Kama hayo.
(Kwa hayo malalamiko yake nikaongea na Dada nikamshauri jinsi ya kuvaa na hasa azingatie nguo za heshima.Walau akabadirika.
Sasa Leo NDO hayo.
Naombeni maoni na mista atawasoma Mana kajaa tele humu
Nguo ni yake, kwani ikifubaa wewe inakuhusu nini shemeji?? Mumeo yupo sahihi mno! Binti ameipenda hiyo nguo ndo mana anatamani aivae kila siku. Mambo ya nguo ya safari na nguo ya kushindia ni mambo ya kishamba ya watu wa mashambani huko.Umesoma vizuri toka mwanzo?kwa Nini Kama ni hivyo huwa watoto wakitoka na nguo kanisani au na nguo special mahali husema vua Kwanza hiyo nguo Na Mimi sijamchukulia Kama mtu Bali au jirani au mtu nisiyekaa Naye na sijawahi mwambia asivae Ila asiifanyie kazi mfano wkt anafagia au wkt anamenya ndizi.Na wkt Nampa nilimwambia hii ya kutokea .
Na SIO hivyo tu nikamuongezea zingine za kufanyia kazi asubuhi kwa maana hata akivaa iyo nguo Nyumbani wkt hafanyi zile kazi za kuifubaza Haina shida.Nikisema kuifanyia kazinunaelewa NDO Mana hata shambani KUNA nguo zake usijifanye hujaelewa
Acha wivu shemejiNimependa Sana ushauri wako ni NZURI
Lkn nimegundua KUNA baadhi ya watu huchangia madam haraka haraka bila kuangalia dhima kuu ya mwandishi.Narudia Tena jamani I wish niipige picha halafu anachoifanyia.Hata wewe ungeumia kwanza ni dharau kwa nguo ya thamani na kwa kuifubaza huko lengo lake lisingekuwepo au Kama msemaji mmoja alivyosema labda mista alimsifia wakiwa wawili Mimi nitajuaje
Binti wa 19 yrs sio mtoto na hivyo hupaswi kumwambia akavue nguo alotoka nayo kanisani. Atavua mwenyewe akijisikia. Huyo ni mtu mzima.Nimekuelewa Ila kwa hapa dear lengo langu nashukuru umenielewa na ni kawaida hata ukitoka kanisani na watoto ukaona wanaendelea kuchezea nguo zile NZURI za kanisani utasikia vua kwanza hiyo.Sijawahi ona mtu akisema amewapangia maana yangu ilikuwa hiyo.Walau asigeuze Kila nguo ya kushindia