Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Asante kwa kuleta mada hii, kwa mtazamo wangu kama mkazi wa Arusha na supporter wa CHADEMA. Lema anapoteza umaarufu na umuhimu na hii ni dalili ya kulipoteza jimbo hili 2015. HAjaweza kugusa matumaini ya wapiga kura. Hajawatembelea kusikiliza shida zao, hajui vizuri jiographia ya watu wake hivyo hawezi kujua shida zao na kuzibeba wala kuzizungumzia. Watu wanachangishwa michango ya visima vya maji huku hakuna umeme katika eneo husika lakini hajawahi kulisemea. Ataje amehudhuria mkutano gani la wapiga kura wake kujua kero zake? Madiwani wana mwitikio mzuri kwa wananchi kuliko lema coz wako karibu na wananchi. Si kila malumbano yana tija. Mwalimu Nyerere alicopromise lkn tulipata uhuru
Wacha upuuzi miaka 50 ya upuuzi wa CCM la laghai za amani ndiyo unashadidia KWA KUJIPACHIKA USEMAJI wa watu wa Arusha. Hapa siyo suala la hisia za wana Arusha. Hapa ni issue ya "PRINCIPLE". Taratibu zimekiukwa lazima zisahihishwe si kwa lubuni na kampeni za kutumia ujinga wa watu.
NI AFADHALI KUPOTEZA JIMBO MADIWANI KULIKO KUWA NALO KWA LUBUNI
Mimi kama mwana-arusha ambaye sitaki kusemewa naunga mkono msimamo wa CDM na hao madiwani wapuuzi waondoke