Lema ukicheza utapoteza Arusha mjini for good

Mwana Kwetu

JF-Expert Member
Jul 12, 2011
652
562
Nazungumza kama supporter mkubwa wa CHADEMA na niliyemchagua Godbless Lema kama mbunge wangu. Niko mjini na niko mobile sana huwa nazunguka katika kata kadhaa za hapa mjini. Wananchi wengi ukiwasikia wanasema lazima waonyeshe support kwa madiwani wao waliowachagua kutokana na uamuzi waliotangaza jana. Mambo ya kamati kuu ya CDM haimsaidii mwananchi wa Kata ya Kimandolu, Sekei, Kaloleni n.k. ambao wanachotaka ni maendeleo na si migogoro ambayo haimaliziki. Wananchi walio wengi including viongozi wa dini wanaunga mkono muafaka na dhamira safi ya madiwani ya kutaka kuendelea mbele katika kuwatumikia wananchi na kuachana na malumbano.

Kutokana na mgogoro huu Lema ameanza si tu kupoteza umaarufu bali hata ushawishi kwa wakazi wa manispaa ya Arusha. Wengi tunaanza kumwona yeye na CHADEMA taifa kama watu wanaotafuta mambo yao binafsi na si kuwatumikia waliowachagua.
Naomba wajue wananchi wamechoka na hakuna mtu yuko tena interested na mvutano ambao siyo tu hauna mwisho bali ambao hauchangii hata asilimia 1% ya maendeleo katika kata zao.
Madiwani wameshikamana na wananchi kuliko Kamati kuu ya CDM inavyofikiri na kama watakosea wakawafukuza hawa madiwani basi wajue wamepoteza jimbo la Arusha kwa sababu watu hawa hawa ndio waliompigia Lema kura na hawatakuwa tayari kumpigia tena 2015.

Watu wanataka iwepo way forward na wasahau ya nyuma tujenge manispaa yetu na siyo kila wakati kutaka kuonyeshana misuli ya kisiasa kana kwamba ndilo lengo kuu la kuingia madarakani.

Please Lema anza kushughulikia malengo makuu ya maendeleo kama mbunge kwa mustakabali wa watu waliokuchagua kinyume na hapo tutakuona uliingia kwenye ubunge kwa personally motivated agenda na si vinginevyo. Kama hautafanya kazi kwa matakwa ya wananchi ndugu yetu hatutakuwa na jinsi zaidi ya kumtafuta mtu atakayeweza kufanya hiyo kazi.

Lastly but not the least namuomba sana Dr. Slaa asiwatishe tishe madiwani tuliowachagua kwani hakuwachagua yeye na hii ni sawa na kututisha sisi tuliowachagua. Dr. Slaa ni mtu mzima na atumie hekima na busara kulishughulikia hili suala haraka iwezekanavyo na kwa manufaa ya wananchi waliowachagua hawa madiwani. Tutaendelea kumheshimu Dr. Slaa kama atatuheshimu na kuelewa wale madiwani wana watu nyuma yao waliowachagua.

Sioni dhambi kukaa meza moja na CCM wakati huko bungeni mko na CCM na mnacheka nao. Sisi tuko nao pia huku mitaani, mahotelini, kwenye mabasi, kwenye nyumba za ibada n.k. Hawa ni wenzetu na tumetofautiana tu itikadi lakini hatuna uadui mkubwa kiasi hicho ambacho Lema anataka kuonyesha hapa Arusha. Ninamuomba Lema akue na aache mambo ya kuonyeshana ubabe ili tujenge nchi yetu kwani safari iliyoko mbele ni ndefu na kazi bado ni kubwa. Nitakuwa na uchungu mkubwa sana kama uzembe wa CDM utalifanya jimbo hili kurudi tena mikononi mwa CCM na mtakuwa mmepoteza sana credibility na support kwa jinsi ambayo itakuwa ngumu ku- reverse.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Heshima mbele Mwana Kwetu.

Mkuu umenena haswa sina cha kuongeza wala kupunguza.
 
Maridhiano ya ARUSHA ni batili cdm taifa haiwezi kuyaridhia.

Kama swala ni wanainchi na madiwani wao inakuwaje hao madiwani waliomba at first CDM makao makuu mpaka ikaandaa maandamano?
 
Hakuna chochote we ni mamluki Wa hao madiwani Kama kweli mbona siku lie ya sherehe ya kuwapongeza ilikwama?
 
Nazungumza kama supporter mkubwa wa CHADEMA na niliyemchagua Godbless Lema kama mbunge wangu. Niko mjini na niko mobile sana huwa nazunguka katika kata kadhaa za hapa mjini. Wananchi wengi ukiwasikia wanasema lazima waonyeshe support kwa madiwani wao waliowachagua kutokana na uamuzi waliotangaza jana. Mambo ya kamati kuu ya CDM haimsaidii mwananchi wa Kata ya Kimandolu, Sekei, Kaloleni n.k. ambao wanachotaka ni maendeleo na si migogoro ambayo haimaliziki. Wananchi walio wengi including viongozi wa dini wanaunga mkono muafaka na dhamira safi ya madiwani ya kutaka kuendelea mbele katika kuwatumikia wananchi na kuachana na malumbano.

Kutokana na mgogoro huu Lema ameanza si tu kupoteza umaarufu bali hata ushawishi kwa wakazi wa manispaa ya Arusha. Wengi tunaanza kumwona yeye na CHADEMA taifa kama watu wanaotafuta mambo yao binafsi na si kuwatumikia waliowachagua.
Naomba wajue wananchi wamechoka na hakuna mtu yuko tena interested na mvutano ambao siyo tu hauna mwisho bali ambao hauchangii hata asilimia 1% ya maendeleo katika kata zao.
Madiwani wameshikamana na wananchi kuliko Kamati kuu ya CDM inavyofikiri na kama watakosea wakawafukuza hawa madiwani basi wajue wamepoteza jimbo la Arusha kwa sababu watu hawa hawa ndio waliompigia Lema kura na hawatakuwa tayari kumpigia tena 2015.

Watu wanataka iwepo way forward na wasahau ya nyuma tujenge manispaa yetu na siyo kila wakati kutaka kuonyeshana misuli ya kisiasa kana kwamba ndilo lengo kuu la kuingia madarakani.

Please Lema anza kushughulikia malengo makuu ya maendeleo kama mbunge kwa mustakabali wa watu waliokuchagua kinyume na hapo tutakuona uliingia kwenye ubunge kwa personally motivated agenda na si vinginevyo. Kama hautafanya kazi kwa matakwa ya wananchi ndugu yetu hatutakuwa na jinsi zaidi ya kumtafuta mtu atakayeweza kufanya hiyo kazi.

Lastly but not the least namuomba sana Dr. Slaa asiwatishe tishe madiwani tuliowachagua kwani hakuwachagua yeye na hii ni sawa na kututisha sisi tuliowachagua. Dr. Slaa ni mtu mzima na atumie hekima na busara kulishughulikia hili suala haraka iwezekanavyo na kwa manufaa ya wananchi waliowachagua hawa madiwani. Tutaendelea kumheshimu Dr. Slaa kama atatuheshimu na kuelewa wale madiwani wana watu nyuma yao waliowachagua.

Sioni dhambi kukaa meza moja na CCM wakati huko bungeni mko na CCM na mnacheka nao. Sisi tuko nao pia huku mitaani, mahotelini, kwenye mabasi, kwenye nyumba za ibada n.k. Hawa ni wenzetu na tumetofautiana tu itikadi lakini hatuna uadui mkubwa kiasi hicho ambacho Lema anataka kuonyesha hapa Arusha. Ninamuomba Lema akue na aache mambo ya kuonyeshana ubabe ili tujenge nchi yetu kwani safari iliyoko mbele ni ndefu na kazi bado ni kubwa. Nitakuwa na uchungu mkubwa sana kama uzembe wa CDM utalifanya jimbo hili kurudi tena mikononi mwa CCM na mtakuwa mmepoteza sana credibility na support kwa jinsi ambayo itakuwa ngumu ku- reverse.

Mungu Ibariki Tanzania
u real hv unabled mind
Dr Slaa lini aliamua yeye binafsi kuhusu issue ya ARUSHA?
yeye anasoma/anaweka hewani kilichoamuliwa na KAMATI au ulitaka shangazi yako ndiye awe mtoa taarifa za KAMATI?
 
Umenena mkuu, tatizo baadhi ya wanchadema hwataki kuambiwa ukweli. Wanataka kuwa kam magamba wanopenda kusifiwa tu bila kuambiwa wanapokosea.

Wanaona baadhi ya watu ni malaika na hawawezi kuskoesa.
 
u real hv unabled mind
Dr Slaa lini aliamua yeye binafsi kuhusu issue ya ARUSHA?
yeye anasoma/anaweka hewani kilichoamuliwa na KAMATI au ulitaka shangazi yako ndiye awe mtoa taarifa za KAMATI?

Nilijua sitaungwa mkono katika hili na najua historia inaonyesha watu wengi walioleta changes walikuwa very unpopular kwa sababu upeo wao ulikuwa juu ya wengine na kufikiri kwao hakukuwa motivated by ushabiki. Ukitumia hisia badala ya akili lazima comments zako zitakuwa kama ulizotowa. Hata kama ametumwa na kamati kuu yeye ni sehemu ya hao watoa maamuzi. Kama utaendea kutoa utumbo basi wajaribu kuwafukuza wenyewe mtaona ninayo yasema.
 
Mambo ya kamati kuu ya CDM haimsaidii mwananchi wa Kata ya Kimandolu, Sekei, Kaloleni n.k. ambao wanachotaka ni maendeleo na si migogoro ambayo haimaliziki.

Hapo kwenye red: Na hilo neno limekuwa linatumika for the last 50yrs! and guess what 70% na ushee wa kaya Tanzania wanakabiliwa na njaa, 14% ya ndio wenye access ya umeme wa MGAO, wengine vibatari! Sitaki ku-doubt ufuasi wako kwa CHADEMA, lakini watu wa ARUSHA na viongozi wa chadema Taifa waliandamana tarehe 5 Jan sio kwa kudai 'maendeleo' peke yake bali kudai utawala wa sheria na haki vitu amabavyo ndio msingi wa hayo maendeleo unayosema. Huwezi kuwa na matawi kama hakuna mti! Na madiwani wa Arusha need to be men enough to admit an error of judgement!
 
jMOSI mambo yatakuwa kama hivi


images
 
Naunga hoja lakini kwa shingo upande!

Mtu mkweli mara nyingi ni very unpopular na ukweli huungwa mkono na very few people lakini ukitaka upate wapambe wengi basi kuwa mnafiki. Mimi sitataka kuwa mnafiki ila nasema ukweli na ninachokiona. Diwani wetu hawajafanya lolote kusubiria decision za kamati kuu na wananchi wamepoteza uvumilivu na huu ndio ukweli. Wanataka mambo yaishe tujadili agenda nyingine. Kwa wasiokuwa Arusha watanitukana lakini huo ndio ukweli
 
Dawa ni muafaka na hili la kubishana na viongozi wa kitaifa halina maana, na tujue ya kwamba madiwani wao wanataka kuthibitishiwa kama walichukua ki2 kidogo kwa uvumi unavyoenezwa...baada ya hapo wako tayari kuachia ngazi, lkn ukweli utatoka wapi?, lkn ni kweli kwamba madiwani waliamua wao pekee kufikia muafaka bila ya viongozi wa chama wa mkoa au taifa kushirikishwa?... nadhani umefika wkt sasa kuyamaliza haya mambo na tuchape kazi kwani 2015 sio mbl kivile.
 
Mimi siamini kama CDM wanachotafuta Arusha ni vujo, makubaliano ni jambo zuri na la kupongezwa lakini lazima kuwe na utaratibu. Watu wakubaliane kwa uwazi na kwa umoja pia. Watu wanatolea mfano maridhiano yaliyofanyika ZNZ lakini wanasahau kuwa ule ulikumwa mchakato ulioshirikisha sio tu wazungumzaji bali na uongozi wa vyama vyote hasa katika kupata taarifa za maendeleo ya mazungumzo. Nakumbuka kuna wakata watu wa CUF walikuwa wanasema kabisa kwamba baadhi ya mambo hatuwezi kuyaamua weneyewe mpaka turudi chamani na CCM walifanya vivyo hivyo.

Jana nimemuona "Naibu Meya" anasema chama kilikuwa na taarifa kuhusu mazungumzo yao na CCM. Naamini kuna utaratibu katika chama chochote wa kupeana na kuhifadhi taarifa rasmi. Binasfi ningefurahi kama huyo "Naibu Meya" angetuletea angalau mfululizo wa barua au hizo taarifa zilizokuwa zinaenda makao makuu na majibu yake ili tuweze ku-establish hasa ukweli uko wapi. Haitoshi kuongea tu.

Lastly, sio kila makubaliano yana manufaa, rejeeni historia.
 
Hapo kwenye red: Na hilo neno limekuwa linatumika for the last 50yrs! and guess what 70% na ushee wa kaya Tanzania wanakabiliwa na njaa, 14% ya ndio wenye access ya umeme wa MGAO, wengine vibatari! Sitaki ku-doubt ufuasi wako kwa CHADEMA, lakini watu wa ARUSHA na viongozi wa chadema Taifa waliandamana tarehe 5 Jan sio kwa kudai 'maendeleo' peke yake bali kudai utawala wa sheria na haki vitu amabavyo ndio msingi wa hayo maendeleo unayosema. Huwezi kuwa na matawi kama hakuna mti! Na madiwani wa Arusha need to be men enough to admit an error of judgement!

If that is the case why we don't see the END but the new BEGINNING of tensions. Kama ni utawala wa sheria na haki basi tuone haya mambo yakifikia mwisho waanze kufanya kazi. Au nayo hiyo haina deadline? watuambie wanakaa lini kujadili hizo differences na wanamaliza lini? Miaka 5 ni michache hebu angalia mwaka unaisha sasa na bado wako kwenye deadlock. How many years will be required to resolve this conflict?
 
Dawa ni muafaka na hili la kubishana na viongozi wa kitaifa halina maana, na tujue ya kwamba madiwani wao wanataka kuthibitishiwa kama walichukua ki2 kidogo kwa uvumi unavyoenezwa...baada ya hapo wako tayari kuachia ngazi, lkn ukweli utatoka wapi?, lkn ni kweli kwamba madiwani waliamua wao pekee kufikia muafaka bila ya viongozi wa chama wa mkoa au taifa kushirikishwa?... nadhani umefika wkt sasa kuyamaliza haya mambo na tuchape kazi kwani 2015 sio mbl kivile.
Hapo kwenye RED ndo kila mtu anataka ukweli wake uwekwe wazi.
 
Nazungumza kama supporter mkubwa wa CHADEMA na niliyemchagua Godbless Lema kama mbunge wangu. Niko mjini na niko mobile sana huwa nazunguka katika kata kadhaa za hapa mjini. Wananchi wengi ukiwasikia wanasema lazima waonyeshe support kwa madiwani wao waliowachagua kutokana na uamuzi waliotangaza jana. Mambo ya kamati kuu ya CDM haimsaidii mwananchi wa Kata ya Kimandolu, Sekei, Kaloleni n.k. ambao wanachotaka ni maendeleo na si migogoro ambayo haimaliziki. Wananchi walio wengi including viongozi wa dini wanaunga mkono muafaka na dhamira safi ya madiwani ya kutaka kuendelea mbele katika kuwatumikia wananchi na kuachana na malumbano.Kutokana na mgogoro huu Lema ameanza si tu kupoteza umaarufu bali hata ushawishi kwa wakazi wa manispaa ya Arusha. Wengi tunaanza kumwona yeye na CHADEMA taifa kama watu wanaotafuta mambo yao binafsi na si kuwatumikia waliowachagua. Naomba wajue wananchi wamechoka na hakuna mtu yuko tena interested na mvutano ambao siyo tu hauna mwisho bali ambao hauchangii hata asilimia 1% ya maendeleo katika kata zao.Madiwani wameshikamana na wananchi kuliko Kamati kuu ya CDM inavyofikiri na kama watakosea wakawafukuza hawa madiwani basi wajue wamepoteza jimbo la Arusha kwa sababu watu hawa hawa ndio waliompigia Lema kura na hawatakuwa tayari kumpigia tena 2015.Watu wanataka iwepo way forward na wasahau ya nyuma tujenge manispaa yetu na siyo kila wakati kutaka kuonyeshana misuli ya kisiasa kana kwamba ndilo lengo kuu la kuingia madarakani.Please Lema anza kushughulikia malengo makuu ya maendeleo kama mbunge kwa mustakabali wa watu waliokuchagua kinyume na hapo tutakuona uliingia kwenye ubunge kwa personally motivated agenda na si vinginevyo. Kama hautafanya kazi kwa matakwa ya wananchi ndugu yetu hatutakuwa na jinsi zaidi ya kumtafuta mtu atakayeweza kufanya hiyo kazi.Lastly but not the least namuomba sana Dr. Slaa asiwatishe tishe madiwani tuliowachagua kwani hakuwachagua yeye na hii ni sawa na kututisha sisi tuliowachagua. Dr. Slaa ni mtu mzima na atumie hekima na busara kulishughulikia hili suala haraka iwezekanavyo na kwa manufaa ya wananchi waliowachagua hawa madiwani. Tutaendelea kumheshimu Dr. Slaa kama atatuheshimu na kuelewa wale madiwani wana watu nyuma yao waliowachagua.Sioni dhambi kukaa meza moja na CCM wakati huko bungeni mko na CCM na mnacheka nao. Sisi tuko nao pia huku mitaani, mahotelini, kwenye mabasi, kwenye nyumba za ibada n.k. Hawa ni wenzetu na tumetofautiana tu itikadi lakini hatuna uadui mkubwa kiasi hicho ambacho Lema anataka kuonyesha hapa Arusha. Ninamuomba Lema akue na aache mambo ya kuonyeshana ubabe ili tujenge nchi yetu kwani safari iliyoko mbele ni ndefu na kazi bado ni kubwa. Nitakuwa na uchungu mkubwa sana kama uzembe wa CDM utalifanya jimbo hili kurudi tena mikononi mwa CCM na mtakuwa mmepoteza sana credibility na support kwa jinsi ambayo itakuwa ngumu ku- reverse. Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu! Naunga hoja mkono kabisaaaa.
 
siasa bwana!leo nyota inang'aa kesho inafifia......wajifunze kwa kiranja mkuu wa nchi jinsi alivyokuwa kipenzi cha wengi na leo kageuka kero.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom