Lema mwanasiasa Bora wa Mwaka 2011

Lema ni tingatinga ! Arusha imepata mwakilishi anayetetea kilio cha wananchi.hongera kamanda lema we salute u broda.
 
Mpaka akumbuke tena? Vipi na kuhusu kufufua wafu kafanikiwa?

Hatuwezi kufanikiwa kufufua wafu kwani wafu wenyewe ni ccm kwani mkifufuka mtatumaliza zaidi ya hapa kwanza wewe ritz rejeo na ngongo ni mifu ila kwasasa nyie ni misukule ya nape fanyeni kazi ya nape vizuri msije mkakosa posho unapo mwongelea Lema unatakiwa uwe makini naunacho kiongea acheni chuki na Lema napia msihoji maendeleo aliyo yafanya Lema hoji kikwete amesha nunua MELI kubwa kuliko ya emvi bukoba!! nakuhusu kwamba 2015 Lema atawambia nini wanachi hata ingekuwa ndiyo 2015 Lema bado atakuwa mbunge kwani sisi watu wa ARUSHA tunampenda sana
 
Hivi mbona Lema ana washabiki wengi hivyo humu lakini simwoni?

Ama anatumia id gani?

Kuna yule ndugu alikuwa na avatar ya mtoto wa kichina china, nimesahau jina...

Labda angekuwa anajuwa somting about nothing

Lema hawezi kujenga hoja kwenye Forums kama hizi sio mzuri kwenye kuandika anaogopa kumwaga upupu..

Kashindwa kuiga kutoka kwa Mnyika au Dr Slaa, wanakuja jamvini..

Lema na Sugu hawawezi kujiunga JF hata siku mmoja, wanatuma tu watu wao kina Crashwise, Feedback, LAT.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Godbless Lema amekuwa ni mwanasiasa mwenye kuibua mijadala mingi hapa nchini, ndani na nje ya bunge. Kwa uchache utaungana nami kukumbuka hotuba ya waziri kivuli wa mambo ya ndani aliyoitoa bungeni ilivyovuta hisia za watanzania wengi. Bila kusahau tamko lake lililopinga mwafaka uliofikiwa kati ya madiwani wa CCM na Chadema Arusha na kupelekea madiwani hao kufukuzwa Chadema.

Ni hivi majuzi tu ametoa waraka wake kuhusu kufukuzwa Kafulila unavyojadiliwa hadi leo hii. Ukiachilia mbali misukosuko yake na harakati za kuwasaidia wananchi wa jimbo lake la Arusha mjini hadi kupelekea kuwekwa rumande kwa wiki mbili, vile vile tumejulishwa Lema amepata tuzo yamwanasiasa bora na jasiri kijana kutoka blog moja nchini na kuwashinda wanasiasa wengine machachari waliotamba mwaka jana kina Zitto, January na Mnyika anayeibukia kwa sasa. Kwa vigezo hivi sina budi kabisa kusema GL amekuwa mwanasiasa bora wa Mwaka huu tunaomaliza wa 2011, nafikiri utakubaliana nami.


Wakuu Lema kafanya vizuri mwaka huu sikatahi, lakini vipi na huyu mtu Mtaalamu wa sheria TUNDU LISSU?
 
Lema hawezi kujenga hoja kwenye Forums kama hizi sio mzuri kwenye kuandika anaogopa kumwaga upupu..

Kashindwa kuiga kutoka kwa Mnyika au Dr Slaa, wanakuja jamvini..

Lema na Sugu hawezi kujiunga JF hata siku mmoja, wanatuma tu watu wao kina Crashwise, Feedback, LAT.
Nape anavyokutumeni mizuka wake mnafikiri wote wanafanyaga hivyo.
 
Nape anavyokutumeni mizuka wake mnafikiri wote wanafanyaga hivyo.

Wewe ulivyokuwa mtumwa wa Lema, ikitokea Lema akarushiwa bomu wa kwanza kufa utakuwa wewe kwa jinsi ulivyokuwa na mahaba na Lema upo tayari kulalia bomu ili Lema apone
 
Kila jambo lina mwanzo, Lema is right there on the beginning. Bora vita itafutayo haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu.
 
Wewe ulivyokuwa mtumwa wa Lema, ikitokea Lema akarushiwa bomu wa kwanza kufa utakuwa wewe kwa jinsi ulivyokuwa na mahaba na Lema upo tayari kulalia bomu ili Lema apone

Wewe nape ngongo rejeo ndiyo mnamahaba na LEMA mkiona jina la LEMA mnawashwa na masaburi yenu hamlali mbaka muandike ujinga wenu kuhusu Lema ndiyo mtajisikia raha na masaburi yenu yanatulia kuwashwa ila nitamwomba Lema siku moja awatulize hayo masaburi yenu wewe nape ngongo rejeo ndiyo mtamuheshimu sisi wananchi wa arusha ni wanaume kazi kwenu nyie AKINA DEVIDI KAMERUNI MNAOTAKA SISI NA LEMA TUWASHULIKIE MASABURI YENU
 
Wewe nape ngongo rejeo ndiyo mnamahaba na LEMA mkiona jina la LEMA mnawashwa na masaburi yenu hamlali mbaka muandike ujinga wenu kuhusu Lema ndiyo mtajisikia raha na masaburi yenu yanatulia kuwashwa ila nitamwomba Lema siku moja awatulize hayo masaburi yenu wewe nape ngongo rejeo ndiyo mtamuheshimu sisi wananchi wa arusha ni wanaume kazi kwenu nyie AKINA DEVIDI KAMERUNI MNAOTAKA SISI NA LEMA TUWASHULIKIE MASABURI YENU
Huu uandishi wa hivi umeusomea wapi? Wa shule za kata kuwagundua ni rahisi sana. Hebu panga hizo sentensi zako vizuri ili tujue unachotaka kutueleza.
 
Hahahaha ritz..umenikumbusha ukilaza wa huyu mheshimiwa. Hivi kwanini huwa anapenda sana kuongoza mazishi? Nimeshamuna kwenye kamati nyingi sana za mazishi. Halafu lazima kwenye kila msiba atoe waraka!!!
Mbona ni shughuli za kawaida za kibinadamu!kwani wewe hutokufa?kama utakufa,je atakayeongoza mazishi yako atakuwa amefanya vizuri au vibaya?kama kila mtu akikwepa kuzika wafu,je wafu watazikwa na nani?kwa hiyo ukilaza wake upo kwenye kuzika wafu au kwenye maeneo mengine,tujuze mkuu!
 
Huu uandishi wa hivi umeusomea wapi? Wa shule za kata kuwagundua ni rahisi sana. Hebu panga hizo sentensi zako vizuri ili tujue unachotaka kutueleza.
shule za kata zilianzishwa na serikali ipi?ya chama gani?kila siku tunapoongelea udhaifu wa CCM wewe umekuwa mstari wa mbele kupinga ukweli huu,nadhani leo umejisahau na kukubali ukweli!
 
269647_10150307379258653_763413652_9163665_3314191_n.jpg

Kwa mazingira kama haya, ambapo Zitto anapuyanga na JK na Salma unadhani atamfikia LEMA?!
JK anampenda sana Zitto, you can tell by his look!lol

Dizain kama anamwaminia kwa sanaa!
 
Wewe nape ngongo rejeo ndiyo mnamahaba na LEMA mkiona jina la LEMA mnawashwa na masaburi yenu hamlali mbaka muandike ujinga wenu kuhusu Lema ndiyo mtajisikia raha na masaburi yenu yanatulia kuwashwa ila nitamwomba Lema siku moja awatulize hayo masaburi yenu wewe nape ngongo rejeo ndiyo mtamuheshimu sisi wananchi wa arusha ni wanaume kazi kwenu nyie AKINA DEVIDI KAMERUNI MNAOTAKA SISI NA LEMA TUWASHULIKIE MASABURI YENU

Kanuni za uandishi ukichanganya herufu kubwa na ndogo ni kufanya fujo!
 
Misukosuko inabidi iwepo lakini iwe ya kimaendeleo. Misukosuko inayotakiwa ni ya kiuchumi na partly kijamii na siyo kisiasa. Nchi nyingi zenye misukosuko ya kisiasa uchumi wake umedidimia. Reference za hii zipo nyingi sana na unaziona kila siku.

Mikoa kama ya Lindi ina geographical disadvantage, lakini ukiangalia kwa mikoa ya TZ, mikoa ya kusin kwa sasa ndiyo inaonyesha positive growth kiuchumi, wakati mikoa ya Kaskazini kama Arusha na kwasababu ya upuuzi wa Lema uchumi wake unekuwa ukididimia.

Mh naomba niikatae hiyo kauli yako mkuu. Tanzania imekuwa na utulivu na amani ya kisiasa ila uchumi wake ndo umedidimia kuliko hata enzi za wakina Mkwawa.
 
Tumbiri,

Kumbuka hapa tunaiongelea Arusha mjini. Naomba nitajie tu njia/ barabara gani ambayo inamilikiwa na manispaa ya arusha mjini ni ya L:ami. Nitajie kwa majina na sio kufanya assumption.

Kwani mimi ninavyojua na ndivyo ilivyo manispaa hiyo haina hata barabara moja ya lami inayomilikiwa nayo zote unazoziona zinamilikiwa na Tanroad.

nasubiri jibu lako hapo na hiyo list


Nimekwambia hivi "assume basi kwamba katika Manispaa ya Arusha hakuna barabara hata moja ya Lami inayomilikiwa na Manispaa ya Arusha. Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba Lema hafai kuwa Mbunge?"
 
Back
Top Bottom