Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
safi sana
Kwani yeye ni Mfungwa wa Kisiasa!Maelezo mengine yanasema Mh. Lema amewekwa kwenye chumba cha peke yake; hayo unayoyaandika ameyapataje?
Rais anaweza kuzuia mfugwa yeyote asitoke gelezani --- sheria / katiba yetu inamruhusu.
Maelezo mengine yanasema Mh. Lema amewekwa kwenye chumba cha peke yake; hayo unayoyaandika ameyapataje?
Kwani yeye ni Mfungwa wa Kisiasa!
Maelezo mengine yanasema Mh. Lema amewekwa kwenye chumba cha peke yake; hayo unayoyaandika ameyapataje?[/Q
Ngoja nikusaidie, Lema analala special room kwa mujibu wa vyanzo vyangu visivyo na chenga, na mahabusu hawatakiwi kuongea na Lema bila kibali.Maelezo mengine yanasema Mh. Lema amewekwa kwenye chumba cha peke yake; hayo unayoyaandika ameyapataje?
Rais anaweza kuzuia mfugwa yeyote asitoke gelezani --- sheria / katiba yetu inamruhusu.
Unaishi Sudan mdogo wangu.Ngoja nikusaidie, Lema analala special room kwa mujibu wa vyanzo vyangu visivyo na chenga, na mahabusu hawatakiwi kuongea na Lema bila kibali.
Kuna taarifa zinasema lema kapumuliwa kisogöni na jamaa.
Maelezo mengine yanasema Mh. Lema amewekwa kwenye chumba cha peke yake; hayo unayoyaandika ameyapataje?
inaonekana kapapenda jela,sasa ngoja kosa lake lithibitike tuone kama atapenda akae huko au atakata rufaa,akikata rufaa tutjua analikuwa anstuzuga
Rais anaweza kuzuia mfugwa yeyote asitoke gelezani --- sheria / katiba yetu inamruhusu.
Kuna taarifa zinasema lema kapumuliwa kisogöni na jamaa.
MJOMBA RAIS HANA MAMLAKA YA KUMFUNGA MTU SHERIA NDO INAMAMLAKA NA VILE VILE RAIS HANA MAMLAKA YA KUMZUIA MFUNGWA YYT ASITOKE GEREZANI SHERIA NDIO ITAZUIA lkn kwa serikali legelege na yakifisadi ya Tz yote yanawezekana ht kuua ruksa! Binafsi nampongeza sn mh.
G.Lema kwa ushujaa na uzalendo aliofanya na kama pesa zitampungukia asisite kurudi kwa wananch kutueleza, tutachangishana fasta kuwakomboa watanzania wenzetu. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU MBARIKI LEMA, MUNGU IBARIKI CHADEMA,