sina shaka na hilo.Hapa usikute kapeleka story ili aandikwe ajulikane zaidi
Nimeona kwenye GPL wameamua kumuanika Le Mutuzz, angalia picha za aliyepaswa kuwa mwakilishi wetu EA!!
Namkumbuka mwalimu aliwahi kusema "Sasa watanzania tumebakiwa na kazi moja kum..." picha yake halisi imeonekana.
Mavi!!!!!!!!!choo kiko wapi nikajisitiri mie!!!!!
Jamaa hamna kitu kichwani! ni misifa kama Dhaifu
Duh! Jamaa wamezinyonya picha hapa jamvini na kisha kuzitumia kuuza kijigazeti chao...Huu ndio mwisho wa Le Mutuz big show baharia wa Segerea kuweka mapicha yake hapa na vimwana mbali mbali jijini au kuandika alikuwa anajirusha maeneo yepi ya jiji.
hivi ana mke na watoto?amepataje huo uongozi jumuia ya wazazi kata kigamboni?maana hafananii kuwa mzazi
William Malecela juzi alipowatembelea wabunge wanaopenda Simba kwenye vyumba vyao vya kuvalia Uwanja wa Taifa kabla ya mchezo wao wa Jumamosi; juu ni Mh. Zitto na chini ni Mheshimiwa Neema Himid!!
NI ILI WATU WAMTAMBUE KWA URAHISI WANGEMALIZIA THE BIG SHOOW @NY KIVUKONI DSM hahahaahLakinu hawamtendei haki kumita 'mtoto wa Malecela'
sasa yeye ni mtu mzima vya kutosha
bora aitwe tu kwa jina lake la William Malecela Le Mutuz...