Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 949
- 1,685
Mwana Mitandao maarufu na mmiliki wa Blog Le Mutuz
aliyefariki dunia leo 14.may 2023
anatarajiwa kuagwa kesho 15May 2023
uwanja wa karimjee Rafiki yake wa karibu na msemaji wa familia ya Lemutuz - Kinjikitile Mwiru amesema hayo mapema leo.
"William Malecela tutaamuaga Kesho Karimjee na Maziko ni kati ya Jumatano au alhamisi Dodoma tunamsubiri Mzee malecela aje" Kinje
Sent using Jamii Forums mobile app
aliyefariki dunia leo 14.may 2023
anatarajiwa kuagwa kesho 15May 2023
uwanja wa karimjee Rafiki yake wa karibu na msemaji wa familia ya Lemutuz - Kinjikitile Mwiru amesema hayo mapema leo.
"William Malecela tutaamuaga Kesho Karimjee na Maziko ni kati ya Jumatano au alhamisi Dodoma tunamsubiri Mzee malecela aje" Kinje
Sent using Jamii Forums mobile app