Kwanini wanawake wengi wajawazito wanakuwa na ugomvi au kauli mbaya?

Nikiwa nina mimba mume wangu anatapika wakati mimi niko fresh. Tukienda kwa madokta wanasema anakuwa affected kisaikolojia wala haina uhusiano na mimba yangu. Wazee wao wanasema sijuhi mkeo akikuruka toka kitandani basi unabeba karaa zake za mimba. I have two kids with similar experience. It is so fun. Imeshawahi kuwatokea any of you? Mme wangu hataki kusikia tena maswala ya another kid maanake cha moto anakiona.
kweli hiyo sijaona bado,ila sijui inamhusu vipi physicological
 
Mabadiliko katika mfumo mzima wa mwili yanasababisha hormones fulani hivi zipande na kushuka bila mpango mpaka anakuwa stable kiasi ni miezi mitano hv kwa hiyo kuwa na hasira ni kawaida.
 
nyumba kubwa;Nikiwa nina mimba mume wangu anatapika wakati mimi niko fresh. Tukienda kwa madokta wanasema anakuwa affected kisaikolojia wala haina uhusiano na mimba yangu. Wazee wao wanasema sijuhi mkeo akikuruka toka kitandani basi unabeba karaa zake za mimba. I have two kids with similar experience. It is so fun. Imeshawahi kuwatokea any of you? Mme wangu hataki kusikia tena maswala ya another kid maanake cha moto anakiona.

Wife kiwa mjamzito miezi 3-4 ya Mwanzo mimi kichefuchefu kwa kwenda mbele. Baada ya hapo nakuwa sawa. Sijui kwa kweli kuna uhusiano gani wa mwanaume kujisikia hovyo wakati mimba amebeba mwanamke.
 
nyumba kubwa;Nikiwa nina mimba mume wangu anatapika wakati mimi niko fresh. Tukienda kwa madokta wanasema anakuwa affected kisaikolojia wala haina uhusiano na mimba yangu. Wazee wao wanasema sijuhi mkeo akikuruka toka kitandani basi unabeba karaa zake za mimba. I have two kids with similar experience. It is so fun. Imeshawahi kuwatokea any of you? Mme wangu hataki kusikia tena maswala ya another kid maanake cha moto anakiona.

Wife kiwa mjamzito miezi 3-4 ya Mwanzo mimi kichefuchefu kwa kwenda mbele. Baada ya hapo nakuwa sawa. Sijui kwa kweli kuna uhusiano gani wa mwanaume kujisikia hovyo wakati mimba amebeba mwanamke.
Hii kali, tabu nazopataga akipata yeye sidhani kama atakaa hata kwa siku mbili
 
Huu msemo wa mimba si ugonjwa wanaupenda sana watu wasiopenda ku care wenza wao pale wanapo conceive. I wish mimba ingekuwa inabebwa kwa kupokezana ili watu waongee kwa experience si kwa kufikiri tu.

Jaman mimba kitu kingine kabisaaaa
Kuna wengine wanasema " huyu nae anadeka" usumbufu wa mimba ni kero sana sana yani na siku huwa kama zimeganda vile mpk ufike miez 9 ni tabu tupu

Lakini pia kuna watu wala hawapat shida yoyote mpka wanapata watoto.
Tena wengine ndo unakuta anampenda zaid mume.

Mi hata nikimuona mtu ana mimba huwa namuonea huruma sana, huwa naona kama anaumwa nilivyokuwa naumwa mimi.

Mhh mimba kiboko ya yote, haina u sister du nakwambia.
 
Back
Top Bottom