Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Habari za sahizi wapendwa, poleni na weekend na pia nawatakia weekend njema.
Nilikuwa na swali kuhusu wanawake/wamama wajawazito;
Ni kama inatokea mara kwa mara wanawake wajawazito wanakuwa na hasira au ugomvi, au unakuta wanagombeza tu hata bila sababu, tangu nikiwa shule ya msingi, sekondari hata sasa hapa chuoni lecture wangu ana hiyo hali.
Unakuta waalimu wajawazito hata darasani wanachapa bila sababu, sio bongo tu hata hapa nilipo nakereka sana pale anapotutusi na mwanzoni hakuwa hivo, hata manyumbani sometimes unakuta hizo hali zipo kwa mama zetu ingawa sio wanawake wote.
Ni kitu gani hasa linasababisha wawe na kauli mbaya/ugomvi/fujo?
Na je kwa kipindi hicho cha ujauzito nini hasa cha kufanya ili uwezo kuchukuliana nao?
Nilikuwa na swali kuhusu wanawake/wamama wajawazito;
Ni kama inatokea mara kwa mara wanawake wajawazito wanakuwa na hasira au ugomvi, au unakuta wanagombeza tu hata bila sababu, tangu nikiwa shule ya msingi, sekondari hata sasa hapa chuoni lecture wangu ana hiyo hali.
Unakuta waalimu wajawazito hata darasani wanachapa bila sababu, sio bongo tu hata hapa nilipo nakereka sana pale anapotutusi na mwanzoni hakuwa hivo, hata manyumbani sometimes unakuta hizo hali zipo kwa mama zetu ingawa sio wanawake wote.
Ni kitu gani hasa linasababisha wawe na kauli mbaya/ugomvi/fujo?
Na je kwa kipindi hicho cha ujauzito nini hasa cha kufanya ili uwezo kuchukuliana nao?