Hivi ni kwamba mpaka leo mikopo ya wale waliomba awamu ya pili hamjalipwa? Ama mmesahaulika aisee! Kama kumbukumbu yangu sii mbaya nakumbuka walisema mpaka taehe 19/11/ 2023 mtakuwa mmejichukulia tayari?
Hii serikali ina watu wa ajabu haijawahi tokea🙌🏻
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.