Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 528
Asilimia kubwa ya Walimu wote shule za vijijini ni wanaume. Kuna shule hazijawahi kuwa na mwalimu wa kike tangu kuanzishwa kwake.
Kuna mtindo wa kurundika walimu wa kike shule za mjini kwa kigezo cha mazingira .
Mwalimu wa kike akiajiriwa kijijini kidogo tu huyo amehama .
Pita shule zilizopo mjin mfn Mwanza, Dodoma,Arusha, Moro na Dar uone hali halisi.
Halafu nenda shule za vijijini Mara, Shinyanga n.k
Tamisemi WAKE UP
Kuna mtindo wa kurundika walimu wa kike shule za mjini kwa kigezo cha mazingira .
Mwalimu wa kike akiajiriwa kijijini kidogo tu huyo amehama .
Pita shule zilizopo mjin mfn Mwanza, Dodoma,Arusha, Moro na Dar uone hali halisi.
Halafu nenda shule za vijijini Mara, Shinyanga n.k
Tamisemi WAKE UP