Sdebaseboy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 775
- 247
Mbona sehemu nyingine ukienda unaambiwa kwamba huduma hiyo ilishafungwa.Ni kweli ni unyonyaji sana lakin siku hzi tanesco wamepunguza gharama kwa watu wanaotumia chini ya unit 75 per month unatolewa service charge ewura na rea na unit moja unanunua 150 per month nenden mchekiwe kwenye system issue ni nyumba za kupanga matumiz huwa makubwa sana kuliko mwenye nyumba yake
Why?